Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ushindwe kwa jina la YESU.........na maneno ya mdomo wako yakurudie.....Sasa kama umeandika "Masters in University of Dar es salaam" unadhani unao uwezo kweli wakusoma Masters ?
ushindwe kwa maneno ya kinywa chako.....na yakurudie.....Sasa kama umeandika "Masters in University of Dar es salaam" unadhani unao uwezo kweli wakusoma Masters ?
Kama ni THESIS unafanya application muda wowote ila masomo huwa yanaanza SEM I (September or October) or SEM II (February or March) na kama ni DISSERTATION application huwa zinaanza February, March hadi May na masomo huwa yanaanza SEM I yaani September or October.Hallow...wadau. Ningependa kujua kwa anayefahamu kuhusu mwezi gani wa kufanya application za masters hapa mlimani, chuo..na mwisho wa kupokea fomu za maombi.
hayo yote maneno ya vinywa vya wanadamu......."NIMEWASAMEHE" NA LAANA ZENU ZIWARUDIE....Sidhani kama hata hiyo Bakyela aliyonayo inajielewa.
thanx.......Watachukua intake nyingne mwezi wa nne.over