Robert Kiyosaki anaharibu vijana kwamba wakatae kuajiriwa, ts okay,but what is your project?,and do you have enough capital?,in fact western and most developed countries nimesha ishi huko sana i know,kuna majitu yenye hela zao sio mpaka uende bank,haya majamaa ni kama wazee wa wall street,unafuata unamiambia nina this and this but i have no capital,wana kusaport wanakuwa wabia, REFER, MACK ZUCKERBERG,STEVEN JOB,BILL GATE,LARRY HARRISON,THOMAS EDSON,TESLA,na wengine wengi,but hata huyo Robert ukimsoma ukimuelewa yeye alifanya kazi kwanza na makampuni makubwa akapata mtaji,and finally watu jamii ya robert kiyosaki wapo kibao US,wao ni watia moyo tuu,ndo kazi zao,bt si kuwa ni billionaire,,everyone wanna be a reach broh,and no one ambaye hajui uwekezaji ni mzuri,