Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inategemea unaenda kuitumia wapiNimekusoma kumbe by coursework ndio nzuri
Nmefatilia hivi karibuni, vyuo vingi kama ulipata GPA ya 3.5 na kuendelea masters yko hautokuwa na course work, ila kam gpa ya chini ya 3.5 maana utapiga coursework
Thesis lazima iwepo isipokua kama ulikua na gpa ndogo ndo itakubd upge mpk courseworkKuna masters haina thesis?
Thesis lazima iwepo isipokua kama ulikua na gpa ndogo ndo itakubd upge mpk coursework
Hapa nimejifunza kituNmefatilia hivi karibuni, vyuo vingi kama ulipata GPA ya 3.5 na kuendelea masters yko hautokuwa na course work, ila kam gpa ya chini ya 3.5 maana utapiga coursework
Hapa nimejifunza kitu
𝒀𝒆𝒔 𝒇𝒐𝒓 𝒔𝒖𝒓𝒆Thesis ni unyama sana ila coursework una improve skills kwa hali ya juu
Unaposema ya CW ni nzuri inategemea unasomea chuo gani. Kwa Chuo kama UDSM bora upige tu thesis. Unaposoma by Coursework unapigishwa kwata la nguvu kwenye CW. Alafu mwishoni unamalizia na Dissertation ambapo kwa UDSM uzito wanaoweka kwenye dissertation na thesis tofauti ndogo sanaNimekusoma kumbe by coursework ndio nzuri
Ndiyo. Thesis inatumika kwa mtu anayeanza kusoma moja kwa moja kuanza kuandika research proposal na kuendelea na research yake. Wanaosoma kwa CW wanapiga kwanza pindi na mitihani ndo baadaye waende research. Ujinga wa CW ukishafikia hatua ya kuandika proposal na research hauna tofauti na mtu wa thesis, japo kwenye weight mtu wa CW anafanya dissertation (siyo thesis). na Dissertation ni partial fullfilment wakati Thesis ni fulfilmentKuna masters haina thesis?