Masters udom

Q.L

Member
Joined
Apr 14, 2013
Posts
57
Reaction score
10
Habari zenu wandugu,
Naomba nifaamishwe km udom wamemliza usaili kwa watu wa masters wa education na kama wameanza kusoma kwa wale wa fultym na kama je nikitaka nafasi saiv nitaweza kupata kwa fultym, vp accomodation wanalipaje?
Je kwa evening classes mwisho wao wa usajili ni lini na wao wanalipia accomodation?

Hilo tu ndugu zangu nisaidie.
 
hapo kwenye nyekundu unamaanisha nini? nifafanulie niwezekukusaidia mawazo.
 

uandishi wako huu
 
Walimaliza jana na juzi, kesho ndo wataanza usaili, accomodation bhana inanikumbusha mbali sana, nililipa zamani sana ila ni hivi karibuni, wanavyolipa inachekesha sana lakini inahuzunisha, upatikanaji wa nafasi ni rahisi sana lakini kupata ni kazi kweli, ile full time ndo changamoto yaani unapata kilaini huku ukiangalia unavyokosa taratibu, evening classes huwa haina mwisho lakini ukichelewa uruhusiwi kusoma ingawa utasoma kwa raha iloyoambatana na shida lukuki ila chache. Masters ya education UDOM bhana, ina mambo!
 
Namaanisha wamemalza usail?
usaili au usajili? , bado sijakuelewa ndugu mi najuaga usaili or interview ni kwenye kuomba kazi ila kwenye kusoma kuna usajili or registration, sasa wewe unaposema usaili unamaanisha nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…