Maalim Raphael
Member
- Nov 23, 2018
- 94
- 202
Baada ya katuni ya samaki tuliyoijadili jana, leo manzania mwenye kipaji cha hali ya juu ametuletea tafakuri nyingine. Karibuni tuchangie mawazo.
Nionavyo mimi, mtu ambaye amejifungia ndani, anasema Watanzania ni waoga! Nadhani hii inahusiana na maandamano yaliyokuwa yafanyike tarehe 23/9/2024. Kuna vijana walikuwa wanahamasisha maandamano kwa nguvu sana huku wakidai hawawaogopi polisi na wapo tayari kufa.
Mfano ni kijana mmoja kutoka Mbeya ambaye nadhani atakuwa na tatizo la Afya ya akili, licha ya kuhamasisha na kuahidi kuwa mstari wa mbele, hakutokea kabisa Dar es salaam.
Naamini Watanzania si waoga na si wajinga. Watu wa Ufipa waache blame game badala yake waukabili ukweli mchungu kwamba strategies zao zimeshindwa vibaya wakati wa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kuliko wakati mwingine wowote. Kama wakishindwa kukabiliana na ukweli huu, muda si mrefu watakuwa kama NCCR na CUF.
Wasalaam!
Nionavyo mimi, mtu ambaye amejifungia ndani, anasema Watanzania ni waoga! Nadhani hii inahusiana na maandamano yaliyokuwa yafanyike tarehe 23/9/2024. Kuna vijana walikuwa wanahamasisha maandamano kwa nguvu sana huku wakidai hawawaogopi polisi na wapo tayari kufa.
Mfano ni kijana mmoja kutoka Mbeya ambaye nadhani atakuwa na tatizo la Afya ya akili, licha ya kuhamasisha na kuahidi kuwa mstari wa mbele, hakutokea kabisa Dar es salaam.
Naamini Watanzania si waoga na si wajinga. Watu wa Ufipa waache blame game badala yake waukabili ukweli mchungu kwamba strategies zao zimeshindwa vibaya wakati wa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kuliko wakati mwingine wowote. Kama wakishindwa kukabiliana na ukweli huu, muda si mrefu watakuwa kama NCCR na CUF.
Wasalaam!