Masudi kipanya hatarini na ajira yake clouds

Naskia pia et kipindi cha clouds 360
 
E-Fm ipo inamsubiri.

Watangazaji wa Clouds hawana presha ya kuachishwa kazi sababu wanauhakika wakuajiriwa na Majizo.
 
Me nilijua tu wale watoto sio bure mwanaume hauwezi ukawa vile. Wale jamaa lazima tu watakuwa wanafumuliwa marinda. Tena inaonekana yule sudy ndio anamfumua mwenzie!
 
huyu kipanya yupo kama wachezaji mpira ulaya yaani kuhama timu hilo sio tatizo kwao
 
Kipanya ni miongoni mwa watu wachache wenye uwerevu wa Hali ya juu hawezi ishi njaa mjini
 
Sante mkuu,yaani watu sijui wakoje bana,Yaani wanapenda uanfiki tuu,kunyenyekea mtu kusiko na maana.
Yaani me nikiona mtu anaandika upuuzi kama wa huyo jamaa apoa juu nachukia sana..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…