Masudi kipanya hatarini na ajira yake clouds

Masudi kipanya hatarini na ajira yake clouds

Huyu jamaa hajui kama clouds ni pro sirikali anachora katuni za kichochezi??/?
redio ilishawahi kupigwa faini kwa ku promoti u shoga kwenye kipindi cha kina hando then zamaradi naye aka promoti ushoga wakakataa kuomba radhi,TCRA wakaufyata juzi eti kipindi kinafungiwa miezi kwa kumuhoji Gigy money aliyekuwa anaelezea jinsi anavyoliwa kiboksi manyoya.

Hapo sasa Mr kipanya hujui tu kwamba mabosi wako juu ya sheria? magic fm na radio 5 walifungiwa kwa kosa la mdomo wa mtu mmoja lakini hawa wanaopromote mashoga na tena wenye wafanyakazi mashoga kama wale waliotukanwa na wolper juzi kwamba mmoja wao alimtongoza harmonise akazwe kukataliwa akaanza kutukana.
Mr kipanya ,shauri zakoooooo
Huo ni uchochezi kwani hao wanaochorwa hawaoni??
 
Huyu jamaa hajui kama clouds ni pro sirikali anachora katuni za kichochezi??/?
redio ilishawahi kupigwa faini kwa ku promoti u shoga kwenye kipindi cha kina hando then zamaradi naye aka promoti ushoga wakakataa kuomba radhi,TCRA wakaufyata juzi eti kipindi kinafungiwa miezi kwa kumuhoji Gigy money aliyekuwa anaelezea jinsi anavyoliwa kiboksi manyoya.

Hapo sasa Mr kipanya hujui tu kwamba mabosi wako juu ya sheria? magic fm na radio 5 walifungiwa kwa kosa la mdomo wa mtu mmoja lakini hawa wanaopromote mashoga na tena wenye wafanyakazi mashoga kama wale waliotukanwa na wolper juzi kwamba mmoja wao alimtongoza harmonise akazwe kukataliwa akaanza kutukana.
Mr kipanya ,shauri zakoooooo
Usisahau kuwa kipanya alishawahi kujitoa clouds na bado maisha yake yalienda kasi sana, yule jamaa yupo pale kwa kuwa clouds wanamuhitaji na si kwamba yeye ana hitaji saana ajira yao kiasi ambacho asisimamie anachokiamini kwa ajili ya furaha ya Ma boss wake!
 
Leteni huo ubuyu ukiwa wa motooooooo.......kwahiyo CEO wa shilawadu analiwa kiboga na harmonize au the CEO ndio anamla kiboga harmonize ?
 
Katuni za masoud hazina uhusiano na kipindi chochote kile clouds ...ni sawa sawa na ww uwe umeajiriwa taasisi flani afu at the same time unafuga kuku wa mayai. Cku ikatokea ukamdhulumu mtu kwenye biashara yako haina maana taasisi yako itakuwa matatani.. further more katuni za masoud huchorwa kwenye gazeti la mwananchi ambalo sina uhakika ila nahisi ni la serekali....
 
SB (Suddy Brown) kafanya nini tena huko downtown
 
Hizi kashfa za ushoga kwa baadhi ya wafanyakazi wa clouds inabidi zifanyiwe kazi...wao huwa hawazijibu kwa hiyo inabaki katikati
.
 
Huu uzi ubadilishwe jina naona lengo kuu sio kipanya
Jiwe la gizani
 
Acha kufananisha Kipanya na hizi kanjanja zingine,

Sasa hatarini kivipi ebu funguka,unamfahamu vizuri,

au ndo umetumwa na wale wa oya oya.
 
Huyu jamaa hajui kama clouds ni pro sirikali anachora katuni za kichochezi??/?
redio ilishawahi kupigwa faini kwa ku promoti u shoga kwenye kipindi cha kina hando then zamaradi naye aka promoti ushoga wakakataa kuomba radhi,TCRA wakaufyata juzi eti kipindi kinafungiwa miezi kwa kumuhoji Gigy money aliyekuwa anaelezea jinsi anavyoliwa kiboksi manyoya.

Hapo sasa Mr kipanya hujui tu kwamba mabosi wako juu ya sheria? magic fm na radio 5 walifungiwa kwa kosa la mdomo wa mtu mmoja lakini hawa wanaopromote mashoga na tena wenye wafanyakazi mashoga kama wale waliotukanwa na wolper juzi kwamba mmoja wao alimtongoza harmonise akazwe kukataliwa akaanza kutukana.
Mr kipanya ,shauri zakoooooo
Unajitahid kujitengenezea kiungulia
 
Back
Top Bottom