Masudi kipanya hatarini na ajira yake clouds

Masudi kipanya hatarini na ajira yake clouds

Katuni za masoud hazina uhusiano na kipindi chochote kile clouds ...ni sawa sawa na ww uwe umeajiriwa taasisi flani afu at the same time unafuga kuku wa mayai. Cku ikatokea ukamdhulumu mtu kwenye biashara yako haina maana taasisi yako itakuwa matatani.. further more katuni za masoud huchorwa kwenye gazeti la mwananchi ambalo sina uhakika ila nahisi ni la serekali....
Mwananchi ni gazeti la aga Khan
 
Kwani zile cartoons huwa zina nembo ya clouds media?
Ile ikitokea serikali kumshitaki Masudi atasimama yeye kama yeye kwa sababu haihusiani na mwajiri wake pale.
 
Kwani zile cartoons huwa zina nembo ya clouds media?
Ile ikitokea serikali kumshitaki Masudi atasimama yeye kama yeye kwa sababu haihusiani na mwajiri wake pale.
Litasimama gazeti (Editor) wala hata masoud hatahusika
 
Katuni za masoud hazina uhusiano na kipindi chochote kile clouds ...ni sawa sawa na ww uwe umeajiriwa taasisi flani afu at the same time unafuga kuku wa mayai. Cku ikatokea ukamdhulumu mtu kwenye biashara yako haina maana taasisi yako itakuwa matatani.. further more katuni za masoud huchorwa kwenye gazeti la mwananchi ambalo sina uhakika ila nahisi ni la serekali....
Wamiliki wa gazeti la mtanzania ni wakenya serekali haina hata 0.1%
 
Mtanzania? Mwananchi? Au ni kitu kimoja?[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]
Aise nilikuwa namaanisha mwananchk naona usingizi huu maana mda niliokoment ilikuwa bado kausiku usiku,,,mtanzania ni ya rostam chini ya new habari,,,,,,,mwananchi ndo wakenya bana
 
Huyu jamaa hajui kama clouds ni pro sirikali anachora katuni za kichochezi??/?
redio ilishawahi kupigwa faini kwa ku promoti u shoga kwenye kipindi cha kina hando then zamaradi naye aka promoti ushoga wakakataa kuomba radhi,TCRA wakaufyata juzi eti kipindi kinafungiwa miezi kwa kumuhoji Gigy money aliyekuwa anaelezea jinsi anavyoliwa kiboksi manyoya.

Hapo sasa Mr kipanya hujui tu kwamba mabosi wako juu ya sheria? magic fm na radio 5 walifungiwa kwa kosa la mdomo wa mtu mmoja lakini hawa wanaopromote mashoga na tena wenye wafanyakazi mashoga kama wale waliotukanwa na wolper juzi kwamba mmoja wao alimtongoza harmonise akazwe kukataliwa akaanza kutukana.
Mr kipanya ,shauri zakoooooo

Dah sasa hiyo heading na ulichoandika vyafanana??
 
Dully aliwah semag kitu kama hiki way back kdgo.
Akasema sitaki kuongea na mashoga n wngese alivyopigiwa simu na SUUUUUDY

Hadi baadae walimganda Dully akaomba radhi.
Mkuu ni akina nani hao? nimesikia tetesi za suddy kipanya na ayooooooooooooooo
 
Back
Top Bottom