usser
JF-Expert Member
- Sep 25, 2015
- 13,956
- 14,032
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Eti amtatue marinda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Eti amtatue marinda
Inasemekana yule mwenye tattoo usoniHuyo dume gay aliyeomba mchezo kwa Harmonize ni nani?
Mwananchi ni gazeti la aga KhanKatuni za masoud hazina uhusiano na kipindi chochote kile clouds ...ni sawa sawa na ww uwe umeajiriwa taasisi flani afu at the same time unafuga kuku wa mayai. Cku ikatokea ukamdhulumu mtu kwenye biashara yako haina maana taasisi yako itakuwa matatani.. further more katuni za masoud huchorwa kwenye gazeti la mwananchi ambalo sina uhakika ila nahisi ni la serekali....
SawaMwananchi ni gazeti la aga Khan
Litasimama gazeti (Editor) wala hata masoud hatahusikaKwani zile cartoons huwa zina nembo ya clouds media?
Ile ikitokea serikali kumshitaki Masudi atasimama yeye kama yeye kwa sababu haihusiani na mwajiri wake pale.
Wamiliki wa gazeti la mtanzania ni wakenya serekali haina hata 0.1%Katuni za masoud hazina uhusiano na kipindi chochote kile clouds ...ni sawa sawa na ww uwe umeajiriwa taasisi flani afu at the same time unafuga kuku wa mayai. Cku ikatokea ukamdhulumu mtu kwenye biashara yako haina maana taasisi yako itakuwa matatani.. further more katuni za masoud huchorwa kwenye gazeti la mwananchi ambalo sina uhakika ila nahisi ni la serekali....
Asante kwa taarifa ya uhakikaWamiliki wa gazeti la mtanzania ni wakenya serekali haina hata 0.1%
Mtanzania? Mwananchi? Au ni kitu kimoja?[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]Wamiliki wa gazeti la mtanzania ni wakenya serekali haina hata 0.1%
Aise nilikuwa namaanisha mwananchk naona usingizi huu maana mda niliokoment ilikuwa bado kausiku usiku,,,mtanzania ni ya rostam chini ya new habari,,,,,,,mwananchi ndo wakenya banaMtanzania? Mwananchi? Au ni kitu kimoja?[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]
Ahaaa sawaAise nilikuwa namaanisha mwananchk naona usingizi huu maana mda niliokoment ilikuwa bado kausiku usiku,,,mtanzania ni ya rostam chini ya new habari,,,,,,,mwananchi ndo wakenya bana
Asante kwa kunistua lakiniAhaaa sawa
Huyu jamaa hajui kama clouds ni pro sirikali anachora katuni za kichochezi??/?
redio ilishawahi kupigwa faini kwa ku promoti u shoga kwenye kipindi cha kina hando then zamaradi naye aka promoti ushoga wakakataa kuomba radhi,TCRA wakaufyata juzi eti kipindi kinafungiwa miezi kwa kumuhoji Gigy money aliyekuwa anaelezea jinsi anavyoliwa kiboksi manyoya.
Hapo sasa Mr kipanya hujui tu kwamba mabosi wako juu ya sheria? magic fm na radio 5 walifungiwa kwa kosa la mdomo wa mtu mmoja lakini hawa wanaopromote mashoga na tena wenye wafanyakazi mashoga kama wale waliotukanwa na wolper juzi kwamba mmoja wao alimtongoza harmonise akazwe kukataliwa akaanza kutukana.
Mr kipanya ,shauri zakoooooo
Mwagika mwenzie ni yupi?Inasemekana eti ni SOUDYBROWN na mwenzie
[emoji15]Inasemekana eti ni SOUDYBROWN na mwenzie
Mkuu ni akina nani hao? nimesikia tetesi za suddy kipanya na ayoooooooooooooooDully aliwah semag kitu kama hiki way back kdgo.
Akasema sitaki kuongea na mashoga n wngese alivyopigiwa simu na SUUUUUDY
Hadi baadae walimganda Dully akaomba radhi.