Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee, kuna kitu hakipo sawa. Labda aulizwe akiwa muarabu so what? Utumwa wa kiakili ni mbaya sana.Kuna watu weusi kama tako wapo Zanzibar na Sudan ukiwaambia ni waafrika wanaweza kukuloga. Kuna mchezaji yuko Azam anaitwa nani sijui ni mwafrika nweusi kama ngozi ya mbupu kuna siku nikasikia anasema yeye ni mwarabu ...hii ngozi sijui Mungu aliifanya nini
Kwani asili ya mtu ni rangi ya ngozi au nasaba ( origin) yake? Wewe umezungumzia Sudan basi huko Saudia ndio kuna watu weusi balaa. Hata mama Samia ni mwarabu!Kuna watu weusi kama tako wapo Zanzibar na Sudan ukiwaambia ni waafrika wanaweza kukuloga. Kuna mchezaji yuko Azam anaitwa nani sijui ni mwafrika nweusi kama ngozi ya mbupu kuna siku nikasikia anasema yeye ni mwarabu ...hii ngozi sijui Mungu aliifanya nini
Kwani nani amewaambia kwamba mwarabu lazima awe na ngozi nyeupe? Hiyo ni inferiority complex yenu tu.
Ali bin Hamoud nimesoma sehemu mama yake alikuwa ni Mganda na hata Waganda wanajisifu wamewahi kutawala Zanzibar. Ama kwa Seyyid Khalifa yeye alikuwa ni MuOman na amepata utawala kwa kupitia mke wake Bi Matuka.
Uko sahihi nimewahi ishi zanzibar kuna kidemu kinasema bibi yake mwarabu na kinajiita kiarabu ila ana kipilipili kuliko changu,na pua bapa ,maji ya kundeKuna watu weusi kama tako wapo Zanzibar na Sudan ukiwaambia ni waafrika wanaweza kukuloga. Kuna mchezaji yuko Azam anaitwa nani sijui ni mwafrika nweusi kama ngozi ya mbupu kuna siku nikasikia anasema yeye ni mwarabu ...hii ngozi sijui Mungu aliifanya nini
Kwani Jamsheed hakuwa muafrika ?.....tafsiri ya kuwa ' muafrika' ni rangi au kuchanganya damu (hata kama ya kiarabu na kiafrika ) ?
Kwani Jamsheed hakuwa muafrika ?.....tafsiri ya kuwa ' muafrika' ni rangi au kuchanganya damu (hata kama ya kiarabu na kiafrika ) ?
Mohamed Said
Teh teh 🤣🤣 hilo neno linawalenga wabara tu, weusi wa kule hawaitwi hivyo...Znz ukiwa mweusi na nywele kipilipili wanakuita chogo.
Teh teh 🤣🤣 hilo neno linawalenga wabara tu, weusi wa kule hawaitwi hivyo.
Hili neno limekolezwa na siasa za muungano tu, ila enzi hizo ambapo mpaka maeneo ya pwani ya Tz na Mombasa yalikuwa sehemu ya himaya ya Sultan sidhani kama waliitana ' machogo'.
Labda utuelezee nini maana ya mwafrika ? Ni mwarabu maana msudani anazungumza kiarabu. Sidhani kama aliposema yeye ni mwarabu alikusudia hivyo unavyotaka kwamba yeye sio black ni white (lengo la rangi ya ngozi).Kuna watu weusi kama tako wapo Zanzibar na Sudan ukiwaambia ni waafrika wanaweza kukuloga. Kuna mchezaji yuko Azam anaitwa nani sijui ni mwafrika nweusi kama ngozi ya mbupu kuna siku nikasikia anasema yeye ni mwarabu ...hii ngozi sijui Mungu aliifanya nini
Siyo kweli, reference ya chogo inakuja kwa wabara tu siyo weusi wote...Znz ukiwa mweusi na nywele kipilipili wanakuita chogo.
Seyyid Khalifa ni muOmani safi na yeye alikuwa anatoka katika familia ya kifalme ya Oman (nadhani yeye na mkewe ni ndugu kiukoo)...una maana Khalifa alikuwa mbantu ila akaoa ktk nyumba ya Sultani?