Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Majina ya Kiarabu mavazi ya Kiarabu
Seyyid Khalifa ni muOmani safi na yeye alikuwa anatoka katika familia ya kifalme ya Oman (nadhani yeye na mkewe ni ndugu kiukoo).
Ndio lakn ujomban ni muoman ubaban ni mtu wa lindi.Kwani chief Hangaya ni muafrika mwenzetu
Ina maana baba yake ni mzaliwa wa LindiNdio lakn ujomban ni muoman ubaban ni mtu wa lindi.
Sayyid Khalifa alikuwa ni nani?Kwani nani amewaambia kwamba mwarabu lazima awe na ngozi nyeupe? Hiyo ni inferiority complex yenu tu.
Ali bin Hamoud nimesoma sehemu mama yake alikuwa ni Mganda na hata Waganda wanajisifu wamewahi kutawala Zanzibar. Ama kwa Seyyid Khalifa yeye alikuwa ni MuOman na amepata utawala kwa kupitia mke wake Bi Matuka.
Hapo umechelewa kidogo😀..nilidhani ni chogo kaoa binti ya sultani.
so what?Majina ya Kiarabu mavazi ya Kiarabu
Please soma post no. 20Sayyid Khalifa alikuwa ni nani?
Andika kwa lugha adhim ya kiswahili nikuelewe, kataa kuwa mtumwa wa fikraso what?
Hii dhana ya kuandika maneno ya kiingereza katika ya sentensi za kiswahili kwamba ndio "usomi" itawatafuna Enyi wadanganyikaKwani nani amewaambia kwamba mwarabu lazima awe na ngozi nyeupe? Hiyo ni inferiority complex yenu tu.
Ali bin Hamoud nimesoma sehemu mama yake alikuwa ni Mganda na hata Waganda wanajisifu wamewahi kutawala Zanzibar. Ama kwa Seyyid Khalifa yeye alikuwa ni MuOman na amepata utawala kwa kupitia mke wake Bi Matuka.
Sayyid Khalifa alikuwa ni nani?