Masultani walipatapo kuua raia, kuweka jela za mateso na dhuluma nyinginezo?

Masultani walipatapo kuua raia, kuweka jela za mateso na dhuluma nyinginezo?

Mohamed Said

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2008
Posts
21,967
Reaction score
32,074
UBQ18yf53V2yfLUSMTuM_TTUlzLFkga6o_1CpVddOaYAV1c4jRXdsPRlC8WItBeQGqELj9nD6eWllWNgkDK4dMz58bG1D62g1z9UjPECmza3AAUxgbX89_nBm-ItvcDdpc0EkH32r1zvsQtjgIYV8soJrloEjE831CNQ04WBZsxD3XD4eR-tKqR5OMAX0WP5rDVMdxpINToxwmWaMwIYywQmbT6MX16ewoZLK2FKsQRpEf1gm2WE4RKBKcz4EpNASNJenTcF5XUcgB3h_jp4AcdkFrHQYApg_fA8oOv7CK7_iI_PGSjyfqQJmaROQgZPNYeHPDTRwGeJMfuLhyZbnBaYEhb86IYSzkzTHpH7GaqMiHN-RzIVwOdWKeZ_iCegP1qZrvaSntVrleOskS8xUC5eJ1rgpyyLJkRcp-7dA8R6sPj3tOkfRxgtvXAzOTLNMyPjUCxHc5xHOA2Bhw1TX5WjEIo_NYSXO7co8pXfGAcCw3P4ErVI7ZJPDFzMTweLQI-MtZohMQnV23ndFaMHPQCmAishm3KCSzxHlYqORKkoXSOKO2Sb0eomGWOQgBfLHSQxbw=w620-h643-no


 
oooh !! Mie ntapenda kujifunza ktk mada hii, MaBabu babu zangu walitawalajee?!!!?
 
Unakusudia nini mzee?
Nyenyere,
Makusudio yangu ni kufungua mjadala kupata undani wa uongozi wa masultani wa
Zanzibar endapo katika utawala wao walipata kunyanyasa raia.
 
Nyenyere,
Makusudio yangu ni kufungua mjadala kupata undani wa uongozi wa masultani wa
Zanzibar endapo katika utawala wao walipata kunyanyasa raia.
Labda ni vema kwanza tukafahamu asili ya hao masultani, na pia walifikaje Zanzibar.
 
NDIO MASULTAN WA CCM WALPATA KUUA RAIA (KARUME) KUWEKA NDANI JELA ZA MATESO (SHEIN/KIKWETE) KUFANYA DHULMA(SALMIN KOMANDOO)
 
Hawa ndiyo waliwaburuza mababu zetu na kuwafunga minyororo mikubwa ya shingoni mikononi na miguuni, huku wakiwatandika viboko na akionekana mtu dhaifu anauwawa, kisha kuwauza kama ng'ombe mnadani.
 
Nyenyere,
Makusudio yangu ni kufungua mjadala kupata undani wa uongozi wa masultani wa
Zanzibar endapo katika utawala wao walipata kunyanyasa raia.
Kwanini wengi walitawala muda mfupi sana? nini kiliwatokea?
 
Back
Top Bottom