Pre GE2025 Maswa: CHADEMA yafanya Mkutano Mkuu wa Jimbo, hawakusema wanataka fomu 1 tu ya Mgombea wao wa Urais 2025

Pre GE2025 Maswa: CHADEMA yafanya Mkutano Mkuu wa Jimbo, hawakusema wanataka fomu 1 tu ya Mgombea wao wa Urais 2025

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kawaulize swali hilo mabwana zako huko lumumba, mbowe ataendelea kuongoza chadema utake usitake. Wewe na mabwana zako kama hupendezwi na uwepo wa mbowe kufa.
Naona Bi mkubwa wa mbowe unamtetea bwana yako?
 
Hakuna chama kikicho hai kikaongozwa na mtu mmoja kwa zaidi ya miaka 15... Watu wafuu tu ndio hukubali upuuzi huo.
ANC chama mama la SA kiliongozwa na Oliver Tambo kwa zaidi ya 30yrs na kikaja kutawala SA
 
ANC chama mama la SA kiliongozwa na Oliver Tambo kwa zaidi ya 30yrs na kikaja kutawala SA
Ndiyo maana ni chama cha hovyo kilichojaa wala rushwa na mbumbumbu kama Mbeki na Zuma. Chama kinachochakaza nchi nzuri.
 
ANC chama mama la SA kiliongozwa na Oliver Tambo kwa zaidi ya 30yrs na kikaja kutawala SA
Wewe ni mpumbavu.... Unaongelea Zama za ujima Dunia ipo gizani!!, Nyie wake za Mbowe ni wapumbavu hamjitambui. Zama zenye wasomi wengi mtu bado unaamini kwenye uongozi wa mtu mmoja tena ambaye ni dalali wa siasa?. Bata Wewe!!
 
Wewe ni mpumbavu.... Unaongelea Zama za ujima Dunia ipo gizani!!, Nyie wake za Mbowe ni wapumbavu hamjitambui. Zama zenye wasomi wengi mtu bado unaamini kwenye uongozi wa mtu mmoja tena ambaye ni dalali wa siasa?. Bata Wewe!!
Relax mkuu, nitajie mafanikio ya ccm kwa nchi yangu, maana wale maadui bado wapo, umasikini, ujinga na maradhi na sasa rushwa, why Singida kuna umasikini mkubwa sana
 
Relax mkuu, nitajie mafanikio ya ccm kwa nchi yangu, maana wale maadui bado wapo, umasikini, ujinga na maradhi na sasa rushwa, why Singida kuna umasikini mkubwa sana
Acha kunichanganyia madesa, Kuna mahali nimeiongelea CCM mm kwamba imeleta maendeleo? Au mafanikio?, Au hujui nini nimekiandika?.
 
Back
Top Bottom