Nilireport mtu kunitishia maisha kituo kimoja cha polisi hapa dar,nikapewa RB.baada ya siku mbili nikapigiwa simu na polisi ambaye alijitambulisha kama mpelelezi wa kesi yangu, akaniambia niende anisikilize,kesho yake nikaenda. nikamsimulia kisa chote. sasa polisi kutaka hela eti amenifanyia counselling halafu akamuita na yule mshtakiwa nae akamtoa hela na akamfanya wawe marafiki wakaenda bar kunywa.
kesho yake yule polisi akaniita tena kunipa feedback ya alichokisikia kutoka kwa mshtakiwa.badala ya kunipa feedback sasa akaanza kunitongoza alivyoona sielekei akanambia kwa kuwa sitaki mshtakiwa aende mahakamani basi inabidi tufunge kesi na itanibidi nilipie dolar mia nne, nikashangaa sana.nikamwambia mimi sina hela.akasema hata laki mbili mana wako wengi pale mkuu wa kituo kufunga kesi anaona kama ni usumbufu na maelezo meengi.mi nikachoka sasa nimeamua simpokei simu yake tena.lakini anatuma msg kuuliza nitaenda lini kufunga kesi.
nahitaji kujua, je nikifungua jalada nikapewa RB je ni lazima kufunga kesi?kama ndio je inalipiwa kufunga hiyo kesi? what if nahitaji bado kuitumia hiyo RB just incase mshtakiwa akikurupuka kunitishia tena? nahitaji mwongozo wenu please.
kesho yake yule polisi akaniita tena kunipa feedback ya alichokisikia kutoka kwa mshtakiwa.badala ya kunipa feedback sasa akaanza kunitongoza alivyoona sielekei akanambia kwa kuwa sitaki mshtakiwa aende mahakamani basi inabidi tufunge kesi na itanibidi nilipie dolar mia nne, nikashangaa sana.nikamwambia mimi sina hela.akasema hata laki mbili mana wako wengi pale mkuu wa kituo kufunga kesi anaona kama ni usumbufu na maelezo meengi.mi nikachoka sasa nimeamua simpokei simu yake tena.lakini anatuma msg kuuliza nitaenda lini kufunga kesi.
nahitaji kujua, je nikifungua jalada nikapewa RB je ni lazima kufunga kesi?kama ndio je inalipiwa kufunga hiyo kesi? what if nahitaji bado kuitumia hiyo RB just incase mshtakiwa akikurupuka kunitishia tena? nahitaji mwongozo wenu please.