Ghost MVP
JF-Expert Member
- May 19, 2022
- 439
- 736
Biashara za Mtandaoni bhana zina Changamoto sana, tunajitahidi mno kuendana na Wakati lakini wafanya biashara wengi hawajui kwanini wanafanya biashara na ipi ni namna nzuri ya kufanya biashara na kuvuta wateja.
Unakuta unashida ya Kubadilisha taa ya Nyuma, au unataka Plug za Ignition, unamuuliza Bei anakwambia Leta Gari tuone ndo nikupe bei, ili iweje? Inamaana hawajui bei za Bidhaa zao? Mpaka watafuta namna ya kukadiria
Mwingine anaweka Bidhaa haina Bei, anataka Uulize kwa kumpigia simu au WhatsApp, bila kujua inacost muda mwingi na mfanya biashara mwenzio kaweka bei akimuona hawez kumbuka kukutafuta tena.
Hii Tabia inakwaza Mnooooo..
Unakuta unashida ya Kubadilisha taa ya Nyuma, au unataka Plug za Ignition, unamuuliza Bei anakwambia Leta Gari tuone ndo nikupe bei, ili iweje? Inamaana hawajui bei za Bidhaa zao? Mpaka watafuta namna ya kukadiria
Mwingine anaweka Bidhaa haina Bei, anataka Uulize kwa kumpigia simu au WhatsApp, bila kujua inacost muda mwingi na mfanya biashara mwenzio kaweka bei akimuona hawez kumbuka kukutafuta tena.
Hii Tabia inakwaza Mnooooo..