Maswali 10 juu ya wabunge 19 wa Chadema

Maswali 10 juu ya wabunge 19 wa Chadema

F4B

JF-Expert Member
Joined
Jan 13, 2022
Posts
336
Reaction score
429
Kufuatia kauli ya mwenyekiti wa CHADEMA taifa Mhe, Freeman Mbowe ya kuwa CHADEMA hakijawahi teu wabunge wa viti maalumu kama inavyotakiwa na katiba ya jamhuri ya Muungano wa Tanzania.Kuna maswali mengi juu ya wabunge hawa 19.

1.Nani? aliorganize ili kupata majina hayo 19.

2.Nani? alipeleka majina hayo 19 tume ya taifa ya uchaguzi.

3.Je Kuna watu waligushi saini za viongozi wa kitaifa wa CHADEMA?

4.Kama waligushi hizo saini za viongozi je hiyo siyo jinai?

5.Ni akina nani au nani ? Aligushi saini za viongozi wa CHADEMA taifa maana hawawezi wote wakagushi.

6.Kwa nini? Bunge la jamhuri ya Muungano wa Tanzania hadi leo halijawafikuza Bungeni? ili hali CHADEMA wameshasema hao sio wanchama wao.

7.Je ? Bunge la jamhuri ya Muungano wa Tanzania linatudharau sisi wananchi wake tunaolipa Kodi ili Bunge lipate fedha ya kujiendesha.

8.Kukata rufaa kunaondoa hukumu iliyokwisha kutolewa?

9.Kwa nini kipindi CUF imewafukuza wabunge wake kadhaa waliondolewa Bungeni haraka sana tena,Spika alikuwa Nje ya nchi,kwa nini? hawa wanalindwa?

10.Je Spika wa bunge haoni kuwa anatumia mamlaka yake vibaya kuruhusu wabunge wasio na chama kuendelea kuwemo bungeni?
Binafisi ninaimani kubwa na Mhe Rais wa sasa SSH kwani ameonyesha kwa vitendo na dhamira ya kweli ya kuliponya taifa na kuleta upendo na kuheshimiana kati yetu.Ni Imani yangu hili seke seke atalimaliza vizuri.

Na nyinyi CHADEMA mteue wabunge wa viti maalumu na muwapeleke bungeni wakawawakilishe wananchi msitake Mhe Rais awe anawasikilize nyinyi tu madai yenu ni muhimu na nyinyi mkubali win win situation.

Ni hitimishe Uzi huu kwa kusema katika utawala wa tano taifa lilipitia wakati mgumu sana mfano watu kutekwa, watu kupotea, watu kuwekwa ndani kwa amri za wakuu wa mikoa na wilaya, watumishi wa umma kutopandishiwa mishara kwa miaka mitano mfululizo,wafugaji kunyang'anywa mifugo Yao na kupigwa mnada.

Mhe Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania sisi wananchi tuko nyuma yako thamani yako tunaijua #Kazi iendelee#
 
U
Kufuatia kauli ya mwenyekiti wa CHADEMA taifa Mhe, Freeman Mbowe ya kuwa CHADEMA hakijawahi teu wabunge wa viti maalumu kama inavyotakiwa na katiba ya jamhuri ya Muungano wa Tanzania.Kuna maswali mengi juu ya wabunge hawa 19.
1.Nani? aliorganize ili kupata majina hayo 19.
2.Nani? alipeleka majina hayo 19 tume ya taifa ya uchaguzi.
3.Je Kuna watu waligushi saini za viongozi wa kitaifa wa CHADEMA?
4.Kama waligushi hizo saini za viongozi je hiyo siyo jinai?
5.Ni akina nani au nani ? Aligushi saini za viongozi wa CHADEMA taifa maana hawawezi wote wakagushi.
6.Kwa nini? Bunge la jamhuri ya Muungano wa Tanzania hadi leo halijawafikuza Bungeni? ili hali CHADEMA wameshasema hao sio wanchama wao.
7.Je ? Bunge la jamhuri ya Muungano wa Tanzania linatudharau sisi wananchi wake tunaolipa Kodi ili Bunge lipate fedha ya kujiendesha.
8.Kukata rufaa kunaondoa hukumu iliyokwisha kutolewa?
9.Kwa nini kipindi CUF imewafukuza wabunge wake kadhaa waliondolewa Bungeni haraka sana tena
,Spika alikuwa Nje ya nchi,kwa nini? hawa wanalindwa?
10.Je Spika wa bunge haoni kuwa anatumia mamlaka yake vibaya kuruhusu wabunge wasio na chama kuendelea kuwemo bungeni?
Binafisi ninaimani kubwa na Mhe Rais wa sasa SSH kwani ameonyesha kwa vitendo na dhamira ya kweli ya kuliponya taifa na kuleta upendo na kuheshimiana kati yetu.Ni Imani yangu hili seke seke atalimaliza vizuri.
Na nyinyi CHADEMA mteue wabunge wa viti maalumu na muwapeleke bungeni wakawawakilishe wananchi msitake Mhe Rais awe anawasikilize nyinyi tu madai yenu ni muhimu na nyinyi mkubali win win situation.
Ni hitimishe Uzi huu kwa kusema katika utawala wa tano taifa lilipitia wakati mgumu sana mfano watu kutekwa, watu kupotea, watu kuwekwa ndani kwa amri za wakuu wa mikoa na wilaya, watumishi wa umma kutopandishiwa mishara kwa miaka mitano mfululizo,wafugaji kunyang'anywa mifugo Yao na kupigwa mnada.
Mhe Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania sisi wananchi tuko nyuma yako thamani yako tunaijua #Kazi iendelee#
Ubarikiwe
 
Mambo ya Siasa acha kabisa

Kuna siku tuliamka asubuhi na kukuta Taarifa ya Chadema kumfukuza Uanachama Aliekuwa Meya wa Ubungo Mh.Jacob na ndo akappteza vyeo vyote na hadi leo bado ni Mwana Chadema

Wote tulishangaa kuanzia Mayor mwenyewe, Chama chake na sie CCM asili pia tulishangaa na kuchukizwa na yale

Kuna mwingine aliitwa Mwita akapotez U Meya wa Jiji la Dar es salaaam kihuni huni tu

Halafu leo Mheshimiwa Balozi Pole pole anatushauri tukatae Wahuni wakati yote hayo yalifanyika wakati wao
 
Bunge lililopo ni kijiwe Cha stori tu. Tulia alishasema hawana uwezo wa kulazimisha serikali na wala serikali haibanwi kufuata ushauri wa bunge.
 
Mambo ya Siasa acha kabisa

Kuna siku tuliamka asubuhi na kukuta Taarifa ya Chadema kumfukuza Uanachama Aliekuwa Meya wa Ubungo Mh.Jacob na ndo akappteza vyeo vyote na hadi leo bado ni Mwana Chadema

Wote tulishangaa kuanzia Mayor mwenyewe, Chama chake na sie CCM asili pia tulishangaa na kuchukizwa na yale

Kuna mwingine aliitwa Mwita akapotez U Meya wa Jiji la Dar es salaaam kihuni huni tu

Halafu leo Mheshimiwa Balozi Pole pole anatushauri tukatae Wahuni wakati yote hayo yalifanyika wakati wao
Slow slow na wenzake waliharibu sana nchi hii
 
Jamani, kwa ujumla kipindi cha awamu ya tano kilikuwa ni kipindi cha giza, ni kipindi cha kila uchafu alioutaka Rais, ulifanyika.

Ni kqeli hatuna Bunge. Lakini tukisema wabunge siyo halali, hata Rais mwenyewe anakuwa siyo halali, maana naye ni matomeo ya ucjafu wa 2020.

Hili genge la wahuni, wanaojiita wabunge, tutaenda nalo mpaka 2025. Lakini kama wananchi tuna akili, inastahili kutoka kqenye hilo genge kusiwepo na yeyote wa kuchaguliwa kuwa mbunge.
 
Jamani, kwa ujumla kipindi cha awamu ya tano kilikuwa ni kipindi cha giza, ni kipindi cha kila uchafu alioutaka Rais, ulifanyika.

Ni kqeli hatuna Bunge. Lakini tukisema wabunge siyo halali, hata Rais mwenyewe anakuwa siyo halali, maana naye ni matomeo ya ucjafu wa 2020.

Hili genge la wahuni, wanaojiita wabunge, tutaenda nalo mpaka 2025. Lakini kama wananchi tuna akili, inastahili kutoka kqenye hilo genge kusiwepo na yeyote wa kuchaguliwa kuwa mbunge.
Naunga mkono hoja.
 
Back
Top Bottom