Maswali gani huulizwa nafasi ya accounts officer ii, Tanzania Aviation Authority?

Maswali gani huulizwa nafasi ya accounts officer ii, Tanzania Aviation Authority?

Isenye

Member
Joined
Dec 22, 2024
Posts
97
Reaction score
628
Salamu wana jukwaa wenzangu.
Nauliza maswali gani huulizwa kwenye nafasi ya accounts officer ii taasisi ya Tanzania aviation authority. Tusaidieni, wengine ndio mara ya kwanza kuitwa interview hizi za taasisi za serikali.
 
Salamu wana jukwaa wenzangu.
Nauliza maswali gani huulizwa kwenye nafasi ya accounts officer ii taasisi ya Tanzania aviation authority. Tusaidieni, wengine ndio mara ya kwanza kuitwa interview hizi za taasisi za serikali.
Ngoja waje kukupa mwongozo
 
Pitia nondo zote za Financial Accounting bila kuacha kitu, vile soma Cost Accounting, Auditing, bila kusahau Management Accounting. Usahili ni maandalizi kila la kheri ndugu.
 
Back
Top Bottom