Christina84
Member
- Aug 5, 2017
- 74
- 50
Hello wapendwa,
nilikua nauliza maswali gani unatakiwa ujiulize binafsi kabla ya kuanzisha biashara....??
naenda kumuona business advisor,ila ningependa baada ya kupata ushauri wake nimuulize maswali ya aina gani,so that I get well informed and go ahead with a business or not...?
nilikua nauliza maswali gani unatakiwa ujiulize binafsi kabla ya kuanzisha biashara....??
naenda kumuona business advisor,ila ningependa baada ya kupata ushauri wake nimuulize maswali ya aina gani,so that I get well informed and go ahead with a business or not...?