Kuna Uzi humu tumemzungumzia sana
Ana nguvu sana
Ana uwezo wa kuvunja baraza lote
Hata kama ni bunge la Australia anavunja akitaka
Malkia hana nguvu kiutendaji na kimaamuzi kama nilivyosema...amebakia kama nembo tu ya nchi ya uingereza. yeye anaishi Buckingham palace. mwenye nguvu kiutendaji ni waziri mkuu ambae ndio mkuu wa serikali.
ExactlyAsante kiongozi.
Kwahyo inamaanisha wakati Elizabeth anaolewa hakua na kaka yake ambae angerithi mikoba ya Ufalme?
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamaa una story nzuri sana ila ipo nje ya mada husikanackia huyu bibi alikutana na Mwal. Nyerere akampa mkono bila kuvua gloves et Mwalimu nae akamshikisha fimbo yke km mkono
Juzi niliona anakagua benki ya dhahabu
G.O.M.D
Wadhamini kidogoJamaa una story nzuri sana ila ipo nje ya mada husika
Duuh! Hii n hatar aseeHuyo bibi hana tena nguvu alisha vuliwa kinga nyingi sana.... Sasa hivi hana tofauti na Faru Fausta.. Yupo tu kama kivutio cha utaliii
Malkia wa Uingereza, nini kazi zake?
Ikitokea Queen Elizabeth kafariki, madaraka atakuanayo mtoto wake mkubwa wa kiume ambae atakua mfalme sasa. Ryt?Huwezi kuwa King/Queen kama hujazaliwa katika loyal family, mume wa Queen Elizabeth alioa ktk familia ya kifalme so yeye ametokea nje, hawezi kuwa mfalme. Prince Charles, mtoto wa Queen Elizabeth anaweza kuwa mfalme, Prince William na Harry wanaweza kuwa wafalme, lakini sio wake zao
Na kwa kuongezea tu japo ni nje ya mada. Huyo mdogo wake na malkia Elizabeth, Magreth(Princess) ndiye ambaye hospitali yetu ya sasa Muhimbili(MNH) iliitwa kwa jina lake yaani Princess Magreth Hospital kabla ya baadae kubadilishwa jina na kuitwa MNH.Mfalme George V alikuwa na watoto wawili ambao ni Edward na George, Edward ndio alikuwa mkubwa...
Baada ya mfalme George V kufariki aliingia madarakani mtoto wake wa kwanza wa kiume ambae ni Edward, akaitwa mfalme Edward VIII, baadae Edward alimpata mwanamama wa kimarekani ikawa skandali kubwa 1936. ikabidi ajiudhuru na kumuachia madaraka mdogo wake George, akaitwa mfalme George VI. George alikuwa na watoto wawili tu wa kike, Elizabeth na Margareth, Eliza ndio alikuwa mkubwa, alipofariki baba yao Elizabeth ndio akarithi madaraka na kuitwa Queen Elizabeth II. Ndio huyu wa sasa, mdogo wake alifariki 2002.
Na kwa kuongezea tu japo ni nje ya mada. Huyo mdogo wake na malkia Elizabeth, Magreth(Princess) ndiye ambaye hospitali yetu ya sasa Muhimbili(MNH) iliitwa kwa jina lake yaani Princess Magreth Hospital kabla ya baadae kubadilishwa jina na kuitwa MNH.Mfalme George V alikuwa na watoto wawili ambao ni Edward na George, Edward ndio alikuwa mkubwa...
Baada ya mfalme George V kufariki aliingia madarakani mtoto wake wa kwanza wa kiume ambae ni Edward, akaitwa mfalme Edward VIII, baadae Edward alimpata mwanamama wa kimarekani ikawa skandali kubwa 1936. ikabidi ajiudhuru na kumuachia madaraka mdogo wake George, akaitwa mfalme George VI. George alikuwa na watoto wawili tu wa kike, Elizabeth na Margareth, Eliza ndio alikuwa mkubwa, alipofariki baba yao Elizabeth ndio akarithi madaraka na kuitwa Queen Elizabeth II. Ndio huyu wa sasa, mdogo wake alifariki 2002.
Em nielewesheni kodogo, kwahio kama queen Elizabeth (first born)angekua na mdogo wake wakiume ndo angeapishwa kua king badala ya Elizabeth soon after kifo cha baba yao??Na kwa kuongezea tu japo ni nje ya mada. Huyo mdogo wake na malkia Elizabeth, Magreth(Princess) ndiye ambaye hospitali yetu ya sasa Muhimbili(MNH) iliitwa kwa jina lake yaani Princess Magreth Hospital kabla ya baadae kubadilishwa jina na kuitwa MNH.
Na kwa kuongezea tu japo ni nje ya mada. Huyo mdogo wake na malkia Elizabeth, Magreth(Princess) ndiye ambaye hospitali yetu ya sasa Muhimbili(MNH) iliitwa kwa jina lake yaani Princess Magreth Hospital kabla ya baadae kubadilishwa jina na kuitwa MNH.
Hakika ndivyo ingekua hivyo kwamujibu wa maelezo ya wataalamu hapo juuEm nielewesheni kodogo, kwahio kama queen Elizabeth (first born)angekua na mdogo wake wakiume ndo angeapishwa kua king badala ya Elizabeth soon after kifo cha baba yao??
Sent using Jamii Forums mobile app
Nakabla haijaitwa princess Magreth ilikua inaitwa Sewe, ambalo n jina la aliekua mjenz na mmiliki wa hiyo hospital. Nyongeza tuNa kwa kuongezea tu japo ni nje ya mada. Huyo mdogo wake na malkia Elizabeth, Magreth(Princess) ndiye ambaye hospitali yetu ya sasa Muhimbili(MNH) iliitwa kwa jina lake yaani Princess Magreth Hospital kabla ya baadae kubadilishwa jina na kuitwa MNH.
Na kwa kuongezea tu japo ni nje ya mada. Huyo mdogo wake na malkia Elizabeth, Magreth(Princess) ndiye ambaye hospitali yetu ya sasa Muhimbili(MNH) iliitwa kwa jina lake yaani Princess Magreth Hospital kabla ya baadae kubadilishwa jina na kuitwa MNH.
YesIkitokea Queen Elizabeth kafariki, madaraka atakuanayo mtoto wake mkubwa wa kiume ambae atakua mfalme sasa. Ryt?
Sent using Jamii Forums mobile app