Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
JK namna anavyojibu maswali ni kama anaongea na 'mshkaji' wake tuuuu.... Not serious at all, ajue haya maswali anayoulizwa ni KERO kwa watu na wanahitaji majibu ya kina na mtu awe serious
Anasema walimu "watarajie mambo hayatakuwa mabaya sana" hii inamaanisha yatakuwa mabaya lakini si sana...Ndo maana nikasema hayuko deep kabisa na majibu yake. Utadhani ni NN na Yo Yo wanapiga stori bana...Lol....yaani huyu jamaa zero kabisa!!!
Tido anamwambia watu wanasema apunguze kujibu kwa kirefu....