8691jakigili
Senior Member
- Mar 30, 2012
- 179
- 67
Ili tuendelee kama taifa ni lazima tujiulize maswali matatu haya muhimu: (What? Why? and How?)
(1) Nini tunataka tuwe kama taifa? Falsafa yetu kama taifa ieleweke bayana kwa kila Mtanzania.
(2) Kwa nini tunataka tuwe hivyo kama taifa? Kama mtu hajui aendako basi ataishia popote. K.m. angalia bunge letu tukufu lilivyokosa mwelekeo (ni mithili ya boya lililokosa mwelekeo baharini).
(3) Ni namna gani na njia zipi tutafikia malengo yetu? (mbinu na mikakati iliyo dhahiri).
Nawaomba wanajamvi mnitatulie mtanziko ndani ya nafsi yangu. Kila ninapowaza jinsi taifa letu linavyoelekea naona kama majibu ya maswali hayo hapo juu sipati.
(1) Nini tunataka tuwe kama taifa? Falsafa yetu kama taifa ieleweke bayana kwa kila Mtanzania.
(2) Kwa nini tunataka tuwe hivyo kama taifa? Kama mtu hajui aendako basi ataishia popote. K.m. angalia bunge letu tukufu lilivyokosa mwelekeo (ni mithili ya boya lililokosa mwelekeo baharini).
(3) Ni namna gani na njia zipi tutafikia malengo yetu? (mbinu na mikakati iliyo dhahiri).
Nawaomba wanajamvi mnitatulie mtanziko ndani ya nafsi yangu. Kila ninapowaza jinsi taifa letu linavyoelekea naona kama majibu ya maswali hayo hapo juu sipati.