Maswali na majibu kuhusu Alliance In Motion Global

Maswali na majibu kuhusu Alliance In Motion Global

Kuna jamaa yangu kajiunga anaona keshatoboa..... ameniomba nijiunge nimekataa nadhani amejipa muda kuja kunionesha mafanikio yake hapo baadae [emoji23]Hajui mm mkongwe nimeijua forever 2013 na hawakunishawishi kujiunga ndo iwe AIM-Global 2020.

Mwaka huo 2013 natoka chuo Kuna jamaa akaniambia Kuna fursa ya baishara Dodoma hotel nihudhurie nilipoenda nikakutana na watu wa Forever living anyway niliwasikiliza ila sikujiunga hawakunishawishi maana kuna mdada aliongea ameacha kazi ya 2m salary na anapiga hela forever sikuelewa....Basi wakamleta na Prof mmoja wa Udom naye kaajiunga apate kipato cha ziada[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]

All in all hizi biashara wanauza DREAMS....kwa mtu ambaye umefanya biashara na una uzoefu nadhani unajua ilivyo tight kuanza biashara na kupata profit ndo maana start up nyingi zinakufa mapemaa tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahaaa sikuwahi kufikiria angle hiyo aisee

Ila kifupi ni kwamba machizi wana hali mbaya kinoma halafu kuna ile dhana ya kuficha umasikini ambayo inajidhihirisha wazi kabisa

Yani unamuona mtu kanyuka suti lakini unaona kabisa suti imemkataa. Mwingine kapiga ya mtumba shati la ndani ule weupe umechange kua rangi ya dona.

Kuna demu mmoja alikua akijinadi kua amepiga bingo ya 50+ millions na ana mkoko ambao unaogopwa na watu kwasababu unakula sana utuli nikimcheki usoni naona fenesi yani pimples kibao. At the same time wanakutangazia package zao kua zinauwezo wakutoa pimples


Mwingine wakati anapita mbele kwenda kuhamasisha watu, alipita karibia yangu nikasikia harufu ya sabuni aina ya jamaa.

Huwezi amini jamaa hata aibu hana eti anasema anamiliki milion 100 na yeye anakamilisha mwaka tangu ajiunge. Mara sijui niliacha kazi ya udokta nikaamua kujiunga na hii global mi nikawa namuona kama joker tu.



It's Scars
Acha tufukue makaburi toka 2018, up to 2020 [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].

Nilikutana na dada anasema ni doctor ameacha kazi nikasema kimoyo moyo hapa hapa nataka nimuumbue, nikaanza kumuliza clinical cases za magonjwa na zile diet supplement zao (wanazo ita dawa) dada akabaki anatoa macho.

Nikamuliza umesomea nn, Nurse attendant nikamjibu sawa, sikumuliza tena swali ndo biashara ikaisha ivo
 
Back
Top Bottom