Nani kakwambia mkuu, hebu cheki bei ya IST namba C kupatana.com usiongee tu ilimradi.fair ukimaanisha nin?
fanya search ya used car kwa domestic market (pitia hata kupatana. com).
hiyo 6m hata ist number c hupati
Sent using Jamii Forums mobile app
screen short ulete hapa tuone, iwe clean usilete gari ambayo haifiki hata morogoro na isiwe mbuche tu. (with good condition)Nani kakwambia mkuu, hebu cheki bei ya IST namba C kupatana.com usiongee tu ilimradi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwan huyo dada hauzi kutatua shida zake? Anyway ngoja nikuache na gari gari yako bwn. Ila ushauri wangu ndo huo kama kweli unataka gari hyo itembeescreen short ulete hapa tuone, iwe clean usilete gari ambayo haifiki hata morogoro na isiwe mbuche tu. (with good condition)
sio chini ya 7m otherwise mtu awe anauza kwaajili ya kutatua shida zake binafsi za dharura.
Sent using Jamii Forums mobile app
Shida zinatofautiana kuna zenye uharaka na zingine mda wowote unaweza kuitatua.Kwan huyo dada hauzi kutatua shida zake? Anyway ngoja nikuache na gari gari yako bwn. Ila ushauri wangu ndo huo kama kweli unataka gari hyo itembee
Sent using Jamii Forums mobile app
Njoo inbox nikupe namba yake ukaichukue kwa hiyo 6m.Unaweza kuta mdada mwenyewe anataka 6 kama jamaa hapo juu alivyobashiri srma udalali sasa ndo shida
Sent using Jamii Forums mobile app
ndio umeandika nin sasa?Dalali
Dalali
Dalali
Gari imeingia TZ mwanzoni mwa 2013.kwa bei hii hapana jaman
Unachukua items/products kulingana na mfuko wako.. watu wananunua vx v8 120m na wengine wanachukua vitz za 4m. Kula pale mkono wako unapofikia hiyo 5.5m tafuta utapata gari nzuri kulingana na budget yako.Ikifikia 5.5 nistue haraka pm nije kuichukua usawa wa magu huu sio 8 nyingiiii mnooo
Sent using Jamii Forums mobile app
Kubali kujifunza mkuu.unachukua items/products kulingana na mfuko wako.. watu wananunua vx v8 120m na wengine wanachukua vitz za 4m.
kula pale mkono wako unapofikia hiyo 5.5m tafuta utapata gari nzuri kulingana na budget yako.
Sent using Jamii Forums mobile app
kujifunza kwenye nin?Kubali kujifunza mkuu.
Jifunze kuuza magari.kujifunza kwenye nin ndugu?
gari ndio bei inayouzwa sasa unataka iuzwe kwa bei unayoitaka wew?
Sent using Jamii Forums mobile app
nimejitahidi kukuelewa mkuu mnada unakuaga kila jumamosi,wanachofanya ijumaa unaenda bandarin unaonana na jamaa wa TRA wanaenda kukuonyesha ndinga ambazo zitapigwa bei....ni wewe tu na pesa zako mana zipo gari hadi za laki 5 😁
Mileage? Kwa mfano.
Mkuu naomba elimu. Kwahyo gar ambayo imeingia Tanzania hivi karibun usajir wake wa plate namba unakuwaje?Akiuza hiyo gari hata kwa M saba, ashukuru Mungu.
Kuhusu kuiuza Dar, sahau. 'Hakuna' mtu wa Dar anaweza nunua gari namba C (esp at that price). Ni bora anunue Vitz namba D kulilo Prado ya namba C. Namba ina matter sana kwa mteja wa Dar...
Unakuwa ni wa kawaida tu. Unasajiliwa baada ya kulipa gharama zote na kupata release order...Mkuu naomba elimu. Kwahyo gar ambayo imeingia Tanzania hivi karibun usajir wake wa plate namba unakuwaje?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nadhan hujanielewa mkuu. Yaan namaanisha had nione herufi gan ndo nijue hii imeingia hivi karibun? Maana tumeambiwa hapo juu plate namba herufi C au D kwa Dar kuuza ni ishuUnakuwa ni wa kawaida tu. Unasajiliwa baada ya kulipa gharama zote na kupata release order...
Kwa uzoefu wako hii na Rav 4 Killi time ipi ambayo ipo vizuri zaidi hasa comfortability,uimara wake,je ikiwa highway haiyumbi yumbi mkuu na ulaji wa mafuta? Mchango wako muhimu sana mkuu.Mkuu toyota volz ni gari nzuri sana na imara pia ila uimara wake haufiki kwa Rav 4 old.
Utumiaji wake wa mafuta uko poa kwani ina cc1790 ambayo kawaida inakula 1lt/8-11km kutegemea na mwendo wa dereva.
Kwa upande Confitability iko poa sana ndani ina muundo kama harrier.
Spear zilikuwa adimu kidogo ila kwa sasa naona zimeongezeka so usijali kuhusu hilo.
Nb:Kama barabara unayopita haina shida kipindi cha masika chukua yenye 2 wheel bt kama ni njia zetu zile yenye 4 wheel itapendeza bt ulaji wa mafuta unaongezeka pia.ukiwa na swali uliza tu maana naijua vilivyo hii gari