Maswali na Majibu kuhusu gari aina ya Toyota Voltz

Wadau habari za hapa?

Ninataka kununua voltz kwa sababu naipenda ilivyo hata mishe za mjini naona iko poa

Je hizi gari zina matatizo gani common na udhaifu wake ni upi?

Msaada
 
Hazina tatizo, ni bonge moja ya Mkebe Mzuri
 
Sawa Boss

Naweza pigisha mzigo Dar to mwanza within a same day?
Ah Mwanza tu hapo ondoa shaka kabisaaa watu wanaenda kwa vitz, au passo gari zenye cc chini ya 1,000 na wanafika salama salimin sa huyo mnyama votz ambaye anazo cc zaidi ya 1,700 atashindwaje fika kwa mfano?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…