ngungwangungwa: Kutoka dar mpaka shinyanga pana umbali wa 1017.5KM, kutoka dar mpaka kigoma ni 1295KM na kutoka dar mpaka Gelib (mji upo kusini mwa somalia) kuna umbali wa 1473.3KM, ndo maana nilisema ukitembea hizo 1500KM kutoka dar kuelekea kaskazini mwa Tanzania utajikuta upo somalia. Actualy, ukitembea kutoka Dar 1500KM kuelekea upande wowote ule lazima utoke nje ya mipaka ya tanzania.
hazifai mkuu nunua range rover
Kwa mtizamo ni gari zuri, cc zake haizidi 2000cc na engine nyingi zake ni vvt-i model 1 zz-fe maana ni kama za platz, vitz, Ist nk. nk
Down side ni kua magari haya yapo ktk phase out huko Japan, hayakupendwa sana na soko lake lilidorora ni kuanzia mwaka 2000- mpk 2003 hivi au 2002 ndo ikawa mwisho wa kutengenezwa, hayazalishwi tena ndo maana lolote utakalo lipata litakua chakavu kwa sheria za Tz yaani more than 10 years since production.
Ninahis lina ubaya wake ila binafsi nililipenda nikajaribu kuangalia experience za watu katika mtanadao sikupata ubaya wake.
I hope this helps
Hilo gari la 2002 litakuwa na kodi mzigo, Tafuta la 2006, kodi itakuwa pungufu zaid
Basi asije akalalamika kodi kubwa ssHakuna toyota Voltz ya 2006
Ziliuzwa kati ya 2002-2004
Hiyo ni bei ya showroom au14 Million mkuu.
Hiyo ni bei ya showroom au
Ulinunua mwaka gani mkuu?Kuna jamaa wanaitwa Japan Auto Com wako Dar walinipa hiyo bei ya 14M mpaka mikononi yaani kila kitu ilikua nyeupe na wana nyeusi manual bei iko chini ya hiyo.
Ulinunua mwaka gani mkuu?
Mkuu unauzoefu nazo hizi gari mana nataka kuichukua. Kama una mawazo yoyote kulingana na hii gari ningependa kufahamu hasa hasa madhaifu yake na uzur wakeNilikua natafuta Voltz mwezi uliopita nikawacheki ndio wakanipa hiyo bei kwa bahati mbaya mimi cash ilikua chini (11M) ivyo wakanishauri waniagizie caldina ingawa moyo wangu uko kwa Voltz,ofisi zao zipo quality Plaza pale kama utahitaji mawasiliano nitakupa ukaongee nao ili ujiridhishe zaidi.