ChickMagnet
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 2,676
- 3,451
Jamal Malinzi mashabiki wanalalamika viingilio vikubwa mechi ya msumbiji,,wanasema hiyo ni mechi muhimu inatakiwa twende kwa wingi kushangilia ili timu ishinde ijiwekee MAZINGIRA.. mazuri..sasa kama kiingilio kikubwa watu watakuja kweli?...halafu mechi inachezwa muda gani maana watu wako katika MFUNGO...au mmepanga ichezwe USIKU..UFAFANUZI tafadhali
chickmaget uongozi kweli ni kazi kubwa,watanzania kila siku mnalalamika mnataka tiketi za elektroniki,leo zinaletwa mnasema hamzitaki,lipi hasa tunalitaka,kununua tiketi ukiwa sebuleni nyumbani kwako au kupanga foleni juani?halafu sio kiingilio tu, tiketi zinanunuliwa kwa kieletroniki ,kwa M-Pesa! Sasa jamani ni watu wangapi wanaweza kufanya hivo...yaani kwa kifupi WAMEFELI!
Mechi hii tiketi zinauzwa electronically na gharama yake ni kubwa kuliko kuuza manualy,inabidi gharama zifidiwe.Jamal Malinzi mashabiki wanalalamika viingilio vikubwa mechi ya msumbiji,,wanasema hiyo ni mechi muhimu inatakiwa twende kwa wingi kushangilia ili timu ishinde ijiwekee MAZINGIRA.. mazuri..sasa kama kiingilio kikubwa watu watakuja kweli?...halafu mechi inachezwa muda gani maana watu wako katika MFUNGO...au mmepanga ichezwe USIKU..UFAFANUZI tafadhali
chickmaget uongozi kweli ni kazi kubwa,watanzania kila siku mnalalamika mnataka tiketi za elektroniki,leo zinaletwa mnasema hamzitaki,lipi hasa tunalitaka,kununua tiketi ukiwa sebuleni nyumbani kwako au kupanga foleni juani?
Mechi hii tiketi zinauzwa electronically na gharama yake ni kubwa kuliko kuuza manualy,inabidi gharama zifidiwe.
Jamal Malinzi...leo asubuhi nimeona mkurugenzi wa ufundi wa timu za vijana...hasa U-17...Sterwart Hall akilalamika kuwa timu za vijana hazina hela...maandalizi duni kuelekea mechi na vijana wenzao wa south africa...
Source :chanel ten...
Sawa lkn mngetoa ufafanuzi kupitia kwa msemaji wenu..kuliko kuacha malalamiko mitaani na mitandaoni..
,,pole mkuu wangu ..hapa sikulaumu ila nilikua nataka kujua zaidi..kuhusu hizo timu jinsi mnavyoziandaaI wish ungejua tanuru ninalopitia kuhakikisha timu umri chini ya miaka 17 na 20 girls/boys na Twiga Stars zinashiriki michuano ya kimataifa. Hakuna udhamini na bado tunaziweka kambini tunazisafirisha Nairobi, Lagos, JBurg etc. Badala ya kulaumiwa tungepongezwa kwa kufanya tunachokifanya.
Kenya wamejitoa Africa U17 kisa gharama.
,,..itakua vizuri pia...kila la kheri...Nitaongea na media Ijumaa hii, nitafafanua.
Jamal malinzi Ishu hapa sio gharama pekee why iwe mpesa tu? Unasema mtu kukaa sebuleni kwake kununua tiketi sawa jambo zuri lkn kuna tigo pesa,airtel money na zpesa lkn cha ajabu ni mpesa tu ndio inayitumika hamuini mmewapa wakati mgumu wasio na mpesa? Halafu hata marangazo yake ni kama hayapo
swali zuri lkn nadhani jibu litakua ..Vodacom ndio wadhamini wakuu..so wamewapa kipaumbele....Rais swali langu hapa ni kwa nini mpesa pekee wakati kuna tigo pesa,airtel money na zpesa je kwa walio nje ya vodacom hawawezi kununu tiketi sebuleni kwao
hahahaaha kibiashara swali tata hili!swali zuri lkn nadhani jibu litakua ..Vodacom ndio wadhamini wakuu..so wamewapa kipaumbele....
ila tusubiri@Jamal Malinzi mwenyewe aje kutujibu vzr
hahahaaha kibiashara swali tata hili!
swali zuri lkn nadhani jibu litakua ..Vodacom ndio wadhamini wakuu..so wamewapa kipaumbele....
ila tusubiri@Jamal Malinzi mwenyewe aje kutujibu vzr
Kwani vodacom ni wadhamini wa Ligi kuu au wadhamini wa TFF na Timu ya TFF nadhani kwenye hili mheshimiwa Malinzi muwe huru hao vodacom huo mkataba wao hauwabani TFF....I stand to be corrected.
hahahaaha kibiashara swali tata hili!
Mpira wa miguu Tz Utaweza endeleaa kama Yanga Simba Na TFF vitapoteaaa Hapaa Duniani!!!.