Philip Dominick
JF-Expert Member
- May 26, 2013
- 1,021
- 189
Malinzi nimekuuliza kuhusu fdf naomba kujulishwa
Lakini naona sijibiwi
Lakini naona sijibiwi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
guti kabla ya kufikia maamuzi juu ya ni idadi gani ya wachezaji wa kigeni tuwaruhusu kusajiliwa na vilabu huwa tunakaa na vilabu vyote na kufanya kikao nao maana wao ndio wadau wakuu.Kikao cha mwisho tulikubaliana wawe watano tu.Jambo hili bado linaweza kujadilika.
Malinzi nimekuuliza kuhusu fdf naomba kujulishwa
Lakini naona sijibiwi
Philip Dominick FDF ni Football Development Fund.Huu ni mfuko maalum uliobuniwa na TFF ili uwe kiungo kati ya TFF na wadau katika kukusanya rasilimali za kuendesha program za mpira wa watoto,vijana na wanawake.Mfuko huu uanzishwaji wake umesimamiwa na Mwenyekiti mwanzilishi Leodegar Tenga,Katibu Henry Tandau na wajumbe Epbraim Mafuru,Mh Zarina Madabida,Mh Tarimba Abbas na Mwenyekiti mstaafu wa klabu ya Simba Mzee Ayoub Chamshama.
Mfuko huu utahamasisha wadau mbali mbali kuchangia maendeleo ya mpira wa vijana,wadau hawa ni pamoja na Serikali,Halmashauri,makampuni binafsi na ya umma,taasisi za dini nk
Kumbuka as it stands today timu yetu ya Twiga stars inayoondoka weekend kwenda Zambia haina support zaidi ya TFF,program za vijana kwa ajili ya fainali za Afrika umri chini ya miaka 17 mwaka 2017 na 2019 hazina support yoyote,hivyo kuna haja ya ku mobilise resources kwa ajili ya mipango endelevu kama hii.
Jamal Malinzi .
Vijana WA Maboresho watatumia jezi zipi dhidi ya Malawi....?
Vipi kuhusu jezi za timu ya taifa ....ulituambia imepatikana muda mrefu sasa.Zoezi tangu November...
Tupatie kauli ya uhakika kutoka Ofisini kwako juu ya huu mchakato huu unaositasita.Ili tu tujue ni lini itawekwa hadharani....!
J malinzi nakuuliza ratiba ya vpl haieleweki
pili hata ukipitia mtandao wa tff vpl haionyeshi
tatu baada ya kulalamikiwa mtandao wa tff ulisema utafatilia mbona hatuoni kitu