Maswali na ushauri kwa Malinzi


Pukudu as a rule sipendi kuingilia kazi ya mwalimu.Ila ujumbe wako nitaufikisha.Si unajua miluzi mingi?
cc Malafyale wakimataifa
 
Last edited by a moderator:
mh rais wa tff leo j2 umetulia naomba unijibu maswali yangu 2
1.ni lini mtatangaza kagame cup kufanyika au kutofanyika hapa nchini?
2.ni kanuni ipi iliyotumika kumcheze ajibu wakati ana adhabu ya kadi tatu za njano?
 
Nataka nikwambie kuwa ule uwanja wa taifa haupo kama walivyotuachia wachina, umeona mechi ya juzi ya Yanga na Azamu uwanja mnautia njumu kila siku angalia sasa hauna tofauti na ule wa mkwkwani tanga umeshindwaje kuurepair ule uwanja wakat mapato mnachukua, msipende pesa kama mechi nyingi nyingine peleken chamanzi afu hakikisha kila kilabu kinakua na uwanja wake mnatutia aibu uwanja mpya unakua na vipara ka mbuga za mikumi
 
Jamal Malinzi VPL umeionaje? Nakukaribisha Rasmi kwenye Shinyanga derby!! Anyway tupongeze Stand Utd chama la wana! Kwa kusaini mkataba na Acacia Goldmine.
It's Diamond mining vs Gold Mining
 
Last edited by a moderator:

Uwanja wa Taifa ni mali ya Serikali.TFF inalipia kila inapoutumia.
 
Jamal Malinzi VPL umeionaje? Nakukaribisha Rasmi kwenye Shinyanga derby!! Anyway tupongeze Stand Utd chama la wana! Kwa kusaini mkataba na Acacia Goldmine.
It's Diamond mining vs Gold Mining
Hongera Pukudu,wana Shinyanga jipangeni vyema kwa msimu ujao maana bila shaka kwa kila timu kucheza mechi thelathini katika miji ya Mtwara Mbeya Morogoro Dar Tanga Songea Bukoba na Shinyanga si kazi ndogo.
 
Last edited by a moderator:
Ligi iliyoisha ya VPL ratiba ilipangwa kuzibebana kuziangamiza timu fulani, kama Azam kuna kipindi alikuwa na viporo 3 wakati hashiriki mechi za kimataifa na wengne wana moja.Aibu.
 


mnachokifanya kwa RAISI WA TIFUATIFUA ni kama huyo mzungu....kumpigia mbuzi gitaa mkitaraji acheze....
 

Attachments

  • mbuzi.jpg
    13 KB · Views: 146
J malinzi dirisha la usajili wa vilabu wa vpl linaanza tarehe ngapi mpaka lini.
vodacom wamemaliza udhamini wao kwa kuwa upo makini naamini utataka kupata wadhamini wenye malipo makubwa je lini mtamtangaza?
 
Nimetoka kuangalia taifa stars vs Swaziland nilichokiona kinasikitisha. Ila kwa kifup fukuza huyo kocha anakula hela zetu bureeeeee yaan bila jasho hamna anachofundisha pale. Bora mumpe kocha mzawa na sio yule.
 
Wachezaji wazee eti unaunda kikosi au mnachukua 10% kwa wachezaji? Timu tokea yametangazwa majina unaona hamna jipya, mnaacha damu changa mnachukua wazee wanaokaa benchi hili litimu limenishindwa wala sina muda wa kuangalia
 
Nimetoka kuangalia taifa stars vs Swaziland nilichokiona kinasikitisha. Ila kwa kifup fukuza huyo kocha anakula hela zetu bureeeeee yaan bila jasho hamna anachofundisha pale. Bora mumpe kocha mzawa na sio yule.

makocha wa taifa stars kama wa simba wa kuokota okota wa bei poa

Wachezaji wazee eti unaunda kikosi au mnachukua 10% kwa wachezaji? Timu tokea yametangazwa majina unaona hamna jipya, mnaacha damu changa mnachukua wazee wanaokaa benchi hili litimu limenishindwa wala sina muda wa kuangalia

Taifa Stars kweli kichwa cha mwendawazimu...
cc@Jamal Malinzi
 
Mheshimwa Jamal Malinzi

Salaam kwako Mkuu wangu, Shikamoo.

Naleta masikitiko yangu na kilio changu kwako nikiwa ni mpenzi wa damu kabisaaaa wa taifa stars, benchi la ufundi haliitendei sawa hii timu kabisaaaa.

Tangu kuondoka kwa Kim Poulsen timu haijawa na remarkable performance hata moja!!

naomba mliangalie hili kwa umakini wa hali ya juu
 
Last edited by a moderator:
Uwanja wa Taifa ni mali ya Serikali.TFF inalipia kila inapoutumia.

Tuondelee huyu kocha wako tafadhali!Kama unampenda MPE team ya Mkoa wa Kagera ambayo wewe pia ni Mwenyekiti wake!Kocha HANA uwezo hata wa kuifundisha Mgambo huyu lkn ww unambeba tu!

Nchi za wengine kocha huyu asingeachwa eti anamchukua Kiemba anamuacha Rashid Mandawa au Malimi Busungu!Unamuacha beki Hassan Kessy unachakua madudu yenu!Kipa Dida na mshambuliaji Bocco wala hawachezi teams zao lkn wanateuliwa Jamal Malinzi upo kinywa tu!

Bado mwezi tu AFCON kiwango chetu hicho nilicho kiona na Swaziland team ya mwisho mwisho rank za FIFA ni kichefu chefu kabisa!
 
Wachezaji wazee eti unaunda kikosi au mnachukua 10% kwa wachezaji? Timu tokea yametangazwa majina unaona hamna jipya, mnaacha damu changa mnachukua wazee wanaokaa benchi hili litimu limenishindwa wala sina muda wa kuangalia

Hakuna kocha mwenye akili timamu akamuacha mchezaji kama RASHID MANDAWA na MALIMA BUSUNGU!Hawa chipukizi nimewaona games 5 kwa kuwafuatilia wanajua sana!Lkn huyu chizi aliyetuletea Malinzi anaachwa ateue apendavyo!

Kocha mwe hu huyu
 
shida kwanza inaanzia kw rais mwenyewe wa tff

hana mipango yeyote ile ya kuendeleza soka mipango yake yote ni mifuu haifai

alishapanga mpango wa endawazim kusaka vipaji mtaani yaan machokaraa wa mpira mtaani waunde timu ya taifa moja kw moja bila kuwa ktk vilabu matokeo yake tukafungwa kw aib na mpango ukafa

huwa najiuliza sababu ya yy kumfukuza KIM POULSEN AMBAYE ALIKUW NA MIPANGO MZR LA KUENDELEZA SOKA KUPITIA VIJANA.MATOKEO YAKE KATULETEA BABU YAKE ANAEPENDA CNA WAZEE.

kingine TFF haina plan za soka wako pale kula tuu hela za viingilio nakuota vifriji vikipumbavu

hakuna juhud yeyote yakuwa tafuta watanzania wanaocheza njee ktk vilab mbal mbali kuja kutumiakia taifa mfn NDITI aliekuwa chelc

TFF haina mipango yeyote yakuwatafutia wachezaj wetu vilabu njee ya nchi wapate uzoefu hata kuwasisitizia tuu.wamekaa wanakula tuu hela za viingilio

rais kutewa uongozi kindugu mbaya zaid hawana uwezo wowote ule kiutendaji

yaan hata plan yakujenga academ hamna mpompo tuu peleken mswaada bungeni mpewe hela asee mjenge academy soka nayo ni elimu kina WILFREDY BONY wamesoma academ kwao ivory cost .nyie mnasubir miujiza tuu

MCHAWI WA SOKA TANZANIA KWANZA NI TFF KIDG NA USIMBA NA UYANGA

ni hayo tu machache
 
Mh Malinzi,Ligi ndio imeisha na kipindi cha usajili ndio kimeanza,mm nakuomba huo mpango wa kuwa na wachezaji wa kigeni 5 ili kuisaidia taifa stars yetu umefail,umekwama,Tutoke huko turuhusu wachezaji wa kigeni zaidi ya watano kwa faida ya vilabu vyetu,Yanga,Simba na Azam fc,mfano TP Mazembe wao kila msimu wapo kwenye ligi ya mabingwa au shirikisho africa ona idadi ya wachezaji wa kigeni ilio nao!!Tuache siasa za taifa stars
 
Mh Malinzi uyu kocha wa Taifa Stars bora musitishe mkataba wake mana kaenda na timu ktk cosafa kuaibisha tu...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…