adakiss23
JF-Expert Member
- Jan 23, 2011
- 4,732
- 4,901
Ligi inaelekea ukingoni,ili kuongeza ushindani msimu ujao wadau na wapenzi wa mpira mnaonaje tukiipanua ikawa ya timu 16 badala ya 14 za sasa?
Tatizo sio idadi kuongezeka tu. Tuongeze udhamini kwa hizi timu pia. TFF ijaribu angalau kila timu ya premier league iwe na mdhamini binafsi makampuni yako mengi tu sidhani hata ka mkataba wa 50m itashindikana. Pia vodacom nao waboreshe udhamini wao. Kutoa jezi tu haitoshi. Suala la jezi lingebaki kwa klabu ili nayo ipate kuuza jezi zao ktk kuongeza pato. Wao watoe vifaa vingine n pesa izidi maradufu. From there ligi itakuwa na ushindani.