Ntemi Kazwile
JF-Expert Member
- May 14, 2010
- 2,182
- 308
Leo nimejikuta mikononi mwa polisi, miongoni mwa maswali yaliyonikela ni kuulizwa dini yangu.
Kwa mazingira ya sasa swali hili inabidi lisiulizwe kwani udini unashika kazi na dini inaweza kukukosesha haki yako.
Kama swali hili ni la mhimu polisi basi na waislamu walikuwa sahihi kuomba liongezwe kwenye dodoso za sensa
Kwa mazingira ya sasa swali hili inabidi lisiulizwe kwani udini unashika kazi na dini inaweza kukukosesha haki yako.
Kama swali hili ni la mhimu polisi basi na waislamu walikuwa sahihi kuomba liongezwe kwenye dodoso za sensa