kyanyangwe
JF-Expert Member
- Oct 31, 2018
- 1,275
- 3,316
Possible muhimu mkuuYani tumekuita interview umekuja kutafuta possible huku? Wewe hautufai.
Hahahah nakuzingua mkuu wadau watakuja kukupa mwanga KILA LA KHERI.
Mkuu huna matumaini na TRA nini??Kwema guys?
Tusichokane jamani,nimetwa kwenye interview mbeya cement nafasi ya finance.
Naomba kuuliza maswali gani huwa wanauliza,na mshahara wao huwa ni kiasi gani?
Nilikuwa nachangamsha uzi tu mkuu.Bongo hamna intaview mpya zote zishafanywa possible muhimu
Ndiyo sina quaranteeMkuu huna matumaini na TRA nini??
Jiamini mkuuNdiyo sina quarantee
Kwa hiyo wewe since umefanya oral tra umekaa tu hujiangaishi na mengine?Jiamini mkuu
Wasipokuwa makini watalia na kusaga meno.Kwa hiyo wewe since umefanya oral tra umekaa tu hujiangaishi na mengine?
Uwoga wako ndio umaskini wako.Wasipokuwa makini watalia na kusaga meno.
mrejesho?Kwema guys?
Tusichokane jamani,nimetwa kwenye interview mbeya cement nafasi ya finance.
Naomba kuuliza maswali gani huwa wanauliza,na mshahara wao huwa ni kiasi gani?