Hongera sana mkuu and all the best kwenye maandalizi ya oralNdio mkuu
Mkuu nimeshakuona kwenye nyuzi nyingi za kuusaka mrija wa asali naamini safari hii utafanikiwaNdio mkuu
Ahsante sana mkuuHongera sana mkuu and all the best kwenye maandalizi ya oral
Bado giza aisee, nafasi 1 tumeitwa watu 6Mkuu nimeshakuona kwenye nyuzi nyingi za kuusaka mrija wa asali naamini safari hii utafanikiwa
Kwanini mkuu kwani ulishapiga oral?Bado giza aisee, nafasi 1 tumeitwa watu 6
Tusubiri zijazo ndugu,Hongeren mlioitwa Kwenye Oral interview ya HESLB wengne tumekandwa na pass mark ya 48 huku dah!
Uzipitie duties and responsibilities za kada yako na historia kidogo ya taasisi iyoAhsante sana mkuu
Kwa kawaida kabla kipenga hakijapulizwa, kila mmoja huwa ni mshindi. Ila huo ushindi huwezi kuuamini kwa asilimia zote.Kwanini mkuu kwani ulishapiga oral?
Ahsante kwa muongozo mkuuUzipitie duties and responsibilities za kada yako na historia kidogo ya taasisi iyo
Pole sana mkuu, next time utaimprove na kuingia oralHongeren mlioitwa Kwenye Oral interview ya HESLB wengne tumekandwa na pass mark ya 48 huku dah!
Mkuu tupo pamoja tarehe 8 et ee?Pole sana mkuu, next time utaimprove na kuingia oral
Mimi kesho mkuuMkuu tupo pamoja tarehe 8 et ee?
Kila lakher mkuuMimi ksmesho mkuu
ππππYani leo ndo umepata nguvu yakuja kutusalimia huku?Oral ilikuaje wakuu mliofanya
Leo ndo nimeona mwanga mpya wa maisha yangu ya mbele π€£π€£π€£ππππYani leo ndo umepata nguvu yakuja kutusalimia huku?
kaaaahππππLeo ndo nimeona mwanga mpya wa maisha yangu ya mbele π€£π€£π€£