Maswali ya kijinga na majibu ya hasira. Ongeza na ya kwako

Mtu anakuuliza "umeshakula?" Unamjibu "hapana" anakuambia "ahaaa" alafu anaendelea na mbishe zake..

Tunaitaga mswali ya kiwaki
 
We jamaa wew,hayo ni majawabu mujarabu
 
8. Upo na demu room, mmeanza kuchezeana, kissing, romance nzito,. Umevua umebaki kifua wazi, ukambeba hadi kitandani. Unamvua nguo anakuuliza unataka kufanya&[HASHTAG]#8230[/HASHTAG];?
Nataka kwenda kufua
We jamaa wew
 
Mko mnapandisha zenu mlima kilimanjaro kwenda kutalii unakutana na best yako kipenzi anakuuliza.


Vp nawewe unapanda???????????

Jibu: Apana mimi naotesha.
 
Nilijikata kiwembe wakati nakata kucha nikaanza kulia kwa sababu maumivu makali, mtu akaniona akaniliuza

Yeye:Na wewe mkubwa ivoo unalia?
Mimi: naimba wimbo wa Taifa
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…