Maswali ya kijinga na majibu ya hasira. Ongeza na ya kwako

8. Upo na demu room, mmeanza kuchezeana, kissing, romance nzito,. Umevua umebaki kifua wazi, ukambeba hadi kitandani. Unamvua nguo anakuuliza unataka kufanya&[HASHTAG]#8230[/HASHTAG];?
Nataka kwenda kufua
[emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16]
 
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] thread kama hizi ndio unajua vibweka vya JF natumai hata wewe mwenyewe umevunja mbavu
Sijawahi kuona dada faiza amecheka humu
 
Mtu anaona kabisa mwandiko wako mbaya anauliza "ndio una mwandiko mbaya hivi?"


Unamjibu hapana hilo ni gazeti la kihindi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji109][emoji109][emoji109][emoji109][emoji109][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…