I am 30years old now, married with two babies now.....! je, huko nitafikaje?Maswali ya kikubwa, peleka kwenye jukwaa la wakubwa!!!
Mambo smily,usiogope jibu swali la kawaida tu lol!Maswali ya kikubwa, peleka kwenye jukwaa la wakubwa!!!
I am 30years old now, married with two babies now.....! je, huko nitafikaje?
Mambo smily,usiogope jibu swali la kawaida tu lol!
Keren mi nikiokota chupi yako huipati tena lol!Hello Uporoto, mzima wewe? Mwenzangu mimi naona aibu....!!! mbona wewe hujamjibu??!!!
Keren mi nikiokota chupi yako huipati tena lol!
Naiweka sandukuni,yule jamaa aliwadharau kwani kasikia mnanunua chupi zilizotumika ?Hahahahah....! Sasa utaifanyia nini???!!!!....lol
usijefanya kama nani yule aliyekuwa anakusanya halfu akaanza kutafuta soko hapa JF....hahahah!
Naiweka sandukuni,yule jamaa aliwadharau kwani kasikia mnanunua chupi zilizotumika ?
Kuna watu huwa wanapat vigugumizi katika mambo haya:-
Mosi: Unakaa mahali na wanawake,siku mdada amefua na kuanika nje nguo zake za ndani,Je inaruhusiwa kama imeanguka kumuinulia au kama mvua inakuja kumuanulia na kumpelekea au kama hayupo kumuhifadhia?
Pili:Ukiwa unaishi na mwenzio(mke/mume au mpenzi) ni wakati gani mzuri kunyoa vile vinyweleo vya kwapani au sehemu sehemu?Ni wakati akiwepo na anakuangalia au wakati hayupo na kwa nini.
Kuna watu huwa wanapat vigugumizi katika mambo haya:-
Mosi: Unakaa mahali na wanawake,siku mdada amefua na kuanika nje nguo zake za ndani,Je inaruhusiwa kama imeanguka kumuinulia au kama mvua inakuja kumuanulia na kumpelekea au kama hayupo kumuhifadhia?
Pili:Ukiwa unaishi na mwenzio(mke/mume au mpenzi) ni wakati gani mzuri kunyoa vile vinyweleo vya kwapani au sehemu sehemu?Ni wakati akiwepo na anakuangalia au wakati hayupo na kwa nini.