Maswali ya Kujiuliza Juu ya Kauli ya Mama Diamond juu ya Baba Diamond

Tatizo lipo ..
Mwanamke shule Hana
Probably mchawi/mshirikina
Obviously alikuwa mcharuko..
Now kapata mtoto superstar..

Wanajamii wanaingizwa kwenye total confusion
Background ya yule mama kama ulivyosema alikuwa mchrk,mswahili sana,pia kaishi thug life sana
Sema tu pesa imekosea njiaaa
Alipopata tu anataka kuishi kwa kukomoa watu na kulipiza fulani
Ila yule mama lazima atambue jamii inamjuaa
Tokea kitambo ila wanamuangalia tu

Ova
 
Kifupi kakubali kama mtoto huyo ni wa haramu hiyo ndio issue.
Na mshua kathibitisha ni haramu alizaliwa baada ya kupiga miti mpaka ndomu ikapasuka na kuzama tumboni wakaitoa.
 
You are such a great thinker....mama amejichanganya sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…