Maswali ya kuuliza kabla na baada ya mechi ya Simba na Berkane

homeless1

JF-Expert Member
Joined
Sep 24, 2020
Posts
427
Reaction score
950
1.Fiston Abdoulrazack alisema wachezaji wa Simba walionekana hawana akili kwa sababu hawajui hata kujiposition

Je wachezaji wa Berkane walijua kujiposition kwa mkapa?

2.Edo Kumwembe na Ambangile walisema hawakuona nafasi ya chama kwenye game ya kwanza kule Morroco kwa sababu hana speed

Je baada ya game ya pili ilopigwa kwa mkapa bado haoni nafasi ya chama

3.Chuki za kisinda na Fiston ni mpira tu au wana yao moyoni

Maswali mengine tujazilizie na majibu yatolewe tafadhari
 
Kuhusu ugomvi wa Kisinda ma Fiston, ndo unatoa habari au unaamini watu wanajua (kwamba unakaribisha maoni juu ya ugomvi huo).
Nchi hii tutafika tukiwa tumechoka sana
 
Kuhusu ugomvi wa Kisinda ma Fiston, ndo unatoa habari au unaamini watu wanajua (kwamba unakaribisha maoni juu ya ugomvi huo).
Nchi hii tutafika tukiwa tumechoka sana
Ni swali nauliza kaka sio maoni???
 
Sidhani kama hili bandiko lako ulifikiria kabla ya kuliweka.
Kuhusu Kisinda na Fiston hivi unadhani kwa Simba ilipofikia haijui michezo ya nje ya uwanja namna ya kumtoa mchezoni mpinzani au wao hawakufatilia mechi za barkane kujua udhaifu wao?

Unamzunguzia chama na speed bila kujua kila game ina approach yake kutegemea na mpinzani unae kutana nae chama sio mgeni na mechi kubwa za africca.

Kichobaki tuwapeni heshima tu Simba na kile wanachokifanya kwa ajiri ya nchi wengine wamekishindwa .
 
Kuhusu kujipostion ni kweli lile goli ni maamuzi binafsi ya sakho alipochukua mpira bwalya na kagere walikimbilia golini badala ya kujipostion kuna kipindi morson na kapombe wamekabwa hakuna mchezaji anayeomba mpira wote wamekaa sehemu moja hapo namkumbuka fraga
 
Mnajadili vitu vya ajabu mi nilijua mtajadili kuhusu ile offside ya wamoroko na ile Kama ilikuwa penati au haikuwa!..
Mchezo wa leo umekuwa wa ajabu vitimbi na visa! Wale waarabu wanastahili adhabu na lile goli lao halikuwa goli ile ni offside tena yalizidi mimtu minne kabisa hata aibu hayaoni.. halafu yanasusa mbele ya wanaume wenzao..😂
 
Ashakum si matusi mpira hauujui
tuna forward ',diagnal na backward movement kwenye mpira na zote hufanywa on na off the ball
bila ya kagere na bwalya kukimbia sakho asingepata nafasi na eneo la ku cut in na kupiga kixha kufunga
 
Bila shaka huu uzi ndo ajenda mnayoijadili kijiweni kwenu baada ya mechi
 
Ajabu yake ni nin mimi nimejadili kilichopo moyoni mwangu kama unataka kujadili kuhusu penalty na offside hata wew unaweza anzisha thread yako

Binafsi siwez anzisha thread kuhusu offside ambayo macho yangu yameona watu zaid ya wanne wamezidi na kibendera alionesha kuwa ni offside kabla hata ya goli kuingia na penalty ambayo kipa alikua eneo lake hajacheza rough na kau win mpira
 
Lile swala haukua mchezo wa nje ya uwanja yalikua ni maongezi binafsi yaliyojaa chuki kati Eng Hersi Said na Akina kisinda lini ulisikia maongezi binafsi yanakua published kama mchezo wa nje ya uwanja


Na kuhusu chama kaka trust me wale jamaa hawana mchezaji kama chama na kuhusu speed hata Simba akiamua kucheza speed anaweza
 
Kwa hiyo Sakho alitoka jukwaani akaja kufunga? Alipokuwa hadi akapata mpira na nafasi ya kufunga ndio inaitwa kujiposition sasa.
 
Ashakum si matusi mpira hauujui
tuna forward ',diagnal na backward movement kwenye mpira na zote hufanywa on na off the ball
bila ya kagere na bwalya kukimbia sakho asingepata nafasi na eneo la ku cut in na kupiga kixha kufunga
Mkuu japo temeahinda Simba hatuweza kujiposition vizur watu wanakimbia nafasi mpaka unahisi kuwa wa naogopa mpira hili mwalimu aliangalie sanat
 
Chuki na ujinga wa kutokuwa na mafaniko ya kimataifa tuwaachie Yanga (wazee wa mbio za sakafuni).
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…