homeless1
JF-Expert Member
- Sep 24, 2020
- 427
- 950
1.Fiston Abdoulrazack alisema wachezaji wa Simba walionekana hawana akili kwa sababu hawajui hata kujiposition
Je wachezaji wa Berkane walijua kujiposition kwa mkapa?
2.Edo Kumwembe na Ambangile walisema hawakuona nafasi ya chama kwenye game ya kwanza kule Morroco kwa sababu hana speed
Je baada ya game ya pili ilopigwa kwa mkapa bado haoni nafasi ya chama
3.Chuki za kisinda na Fiston ni mpira tu au wana yao moyoni
Maswali mengine tujazilizie na majibu yatolewe tafadhari
Je wachezaji wa Berkane walijua kujiposition kwa mkapa?
2.Edo Kumwembe na Ambangile walisema hawakuona nafasi ya chama kwenye game ya kwanza kule Morroco kwa sababu hana speed
Je baada ya game ya pili ilopigwa kwa mkapa bado haoni nafasi ya chama
3.Chuki za kisinda na Fiston ni mpira tu au wana yao moyoni
Maswali mengine tujazilizie na majibu yatolewe tafadhari