Maswali ya wamama mkiangalia pamoja kombe la dunia

Mh! huko akikutana na akina Ma ronaldo wengine itakuaje?
Hahahaaa. Sio rahisi asilimia 99.9 kwenye vibanda umiza huwa ni wanaume sababu wanawake walio wengi wana aibu.

Labda kama kwenye zile sehemu za wazi ndio waeza sema anaweza kutana nao.

Nadhani nimekuelewa ulichomaanisha Mkuu.
 

Shemeji yetu ndo anafikiri hivi?
 
Oooh. Poleni sana.

Muwage mnakwenda vibanda umiza tu kwa kweli.
Usikute hayo maswali huwa mnayauliza makusudi ili tuone kero twende vibandani tuwaache muangalie tamthilia zenu za kifilipino.
 
Yote kwa yote wana maswali magumu na korofi Sana
 
Hilo swali la mwisho lazima umkate jicho kali la onyo[emoji3]
 
hivi mme wangu bingwa anapewa kombe sasa atalifanyia nini na lina faida gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…