Sidhani kama Zitto anaweza kuwa Mjinga kiasi cha kukubali kutumiwa na CCM hii iliyogawanyika kimakundi kwa kiasi kikubwa hivi halafu asitegemee kwamba siri hii lazima itavuja kupitia makundi kinzani ndani ya CCM. Huenda lisemwalo lipo lakini mimi bado Tomaso katika hili.hawezi kujibu huyu Zitto
Mkuu samahani sana "Bado sijamwita Mh Zitto ni MNAFIKI" nimemuuliza maswali ili aniondoe wasiwasi. Kama atashindwa kunijibu basi nitajua what next. So far Ni Mh ZittoKwanza unisamehe Mkuu Fitinamwiko, nina wasiwasi na hii avatar yako. Wakati tunasubiri Zitto aje kutupa majibu yako, naomba unisaidie jawabu wewe na wenzako ambao wana mawazo kama yako, "Ikiwa Zitto ni mnafiki, anatumiwa na CCM kuisambaratisha CDM, yupo kwa maslahi binafsi....hivi uongozi wa juu wa CDM hawayajui hayo? Kama unayajua, kwa nini unaendelea kubakia na mtu kama huyu ndani ya chama chao?"
MIMI najua huyu dogo soon atakuwa sifuri kabisa kwenye siasa kwani hajitambui na anatamaa ya kupitiliza ya kutaka kuwa RAIS,katumwa huyu mtusi watanzania tuweni macho.
Pengine na mimi nikuombe samahani kwani katika maelezo yako hukutaja neno mnafiki, bali nilichukulia jumla jumla maneno ya dhana ya wadau wengine.Mkuu samahani sana "Bado sijamwita Mh Zitto ni MNAFIKI" nimemuuliza maswali ili aniondoe wasiwasi. Kama atashindwa kunijibu basi nitajua what next. So far Ni Mh Zitto
Hee uraia tena? Mkuu Kumbe zzk ni muhutu? Nataka Unipe ushahidi within 24hrs otherwise naunda tume ya kumchunguza MMK alijisemea kuelekea Uchaguzi Mkuu tutasikia mengi Tehe Tehe TeheZitto anahitaji msaada.Kubadilika ghafla yamkini kuna sababu.Ushirika na JK, Jack Zotta na Ikulu lazima una sababu.Zitto anasukumwa kugombea Uraisi kupitia CDM kwa kuwa ni rahisi kumuengua kwa kipengele cha URAIA.Mwenye masikio na asikie!
Hapa hoja ni kutafuta umaarufu na ulipatikana baadaye akaongezewa mshiko, hatimaye akawekwa kwenye kamati yote ni mpano na swahiba wake JK.Mh Zitto kama sikosei wewe ni Mbunge wa Kwanza kufukuzwa Bungeni baada ya kuibua kashfa dhidi ya serikali ya CCM.
Yes, huu ni mpango kabambe na swahiba wake dhaifu ili apate sababu ya kubadilisha baraza na la kumnyoosha kwenye mistari huyu aliye pinda pinda. Si na mafanikio umeona.Mh Zitto ni wewe uliyeanzisha mchakato wa kutaka kumuondoa madarakani Mh Pinda (vote of no confidence) ambayo ilimcost JK kuvunja Balaza lake la mawaziri.
Soma hapo juuMambo haya yote si ya kupendeza ndani ya serikali ya CCM ambayo mkuu wake ndiye uliyeambatana nae kwenda Ethiopia
Ndiyo Urais 2015.Anaweza kugombea chama chochote kwa vile anakubalika kwa vyama vyote, kijana, na kimataifa hajambo sana amepiga picha na wakuu wote.Mh Zitto imekuwaje wewe umekuwa kipenzi wake, what is behind the curtain?
Mkuu ni kweli ngoja nianzishe topic nyingine ambayo ni maswali kwa Mh Mnyika ambae ni msemaji wa CDM. Thanx kwa maoni mazuriPengine na mimi nikuombe samahani kwani katika maelezo yako hukutaja neno mnafiki, bali nilichukulia jumla jumla maneno ya dhana ya wadau wengine.
Kwa upande wangu, nahisi Mhe. Zitto hana ulazima wa kujibu maswali ya kila mdau anayemshutumu kwani kufanya hivyo itakuwa ni utetezi wa upande mmoja tu. Iwapo shutuma hizo ni kweli bali nahisi ni wajibu wa uongozi wa CDM kutoa msimamo wake kwa mtu huyu anayeshutumiwa kutumiwa na CCM kuisambaratisha CDM. Juzi tu wadau humu walitoa shutuma (ambazo hata wewe umeziguisia), za Zitto kuambatana na JK kwenda Ethiopia na wengi walitaka kujua Zitto kama alifanya safari kwa baraka za CDM za yeye mwenyewe binafsi, lakini hakuna maelezo yoyote kutoka CDM. Huwa ninajiuliza, kunani na ukimya wa CDM juu ya shutuma hizi!
Mh Zitto naomba utufafanulie sisi wana JF, ushirikiano wako na serikali ya CCM. Tunajua siasa si uadui lakini ndani ya CCM kuna ushahidi wa kutosha kuwa siasa ni uadui. Mfano, Kuna uthibitisho wa makundi ndani ya CCM kuwekeana sumu na juzijuzi tuu imeriportiwa baadhi yao kutishiana kwa mitutu ya bunduki. Pia tumeona serikali ya CCM kwa kushirikiana na vyombo ya dola kuzuia harakati za chama chako cha CDM kuwakomboa wananchi. Tumeona jinsi maisha yakipotea ktk chaguzi mbili ndogo za Igunga na Arumeru.
Dini yangu inanikataza kudhani, hivyo nakuomba utuwekee wazi Faida zako kisiasa binafsi na kichama (CDM) unazopata kwa kushirikiana na Serikali ya CCM. Ikizingatiwa, ndani ya CCM kuna makundi ambayo yanakigawa chama chao na kuelekea Kaburini soon or later. Pia tunajua Mh unayeambatana nae ktk safari za nje ni muhasisi wa siasa za kuchafuana (2005 Salim Ahmed na Mwandosya) na makundi ambayo yameleta matabaka ndani ya CCM kwa walionacho(Mafisadi) na wasionacho.
Mh Zitto kama sikosei wewe ni Mbunge wa Kwanza kufukuzwa Bungeni baada ya kuibua kashfa dhidi ya serikali ya CCM. Pia Mh Zitto ni wewe uliyeanzisha mchakato wa kutaka kumuondoa madarakani Mh Pinda (vote of no confidence) ambayo ilimcost JK kuvunja Balaza lake la mawaziri. Mh Zitto umewapa serikali ya CCM ultimatum kuwataja vigogo walioficha pesa Swizz. Mambo haya yote si ya kupendeza ndani ya serikali ya CCM ambayo mkuu wake ndiye uliyeambatana nae kwenda Ethiopia. Wote tunajua Mheshimiwa hapendi kukosolewa na constructive criticism kweke ni uadui. Mh Zitto imekuwaje wewe umekuwa kipenzi wake, what is behind the curtain?
Sasa tunaomba bila ya kumung'unya wala kumeza weka kila kitu wazi sisi wana JF tuelewe ukweli wa wasiwasi wetu.
Mkuu Je ulimuomba ruhusa kugawa # ya simu yake? Shukrani sana, mimi nimependa humu JF ndipo nilipoona shutuma nyingi zikielekezwa kwa Mh Zitto. Najua hata Mh anajua katika forum hii wapo wachangiaji wanam grade Zero ktk scale of 0 to 10. Huu ni wakati mzuri kwa Mh Mbunge angekuja na kutoa ufafanuzi. I do know, its not everybody will agree with him, but the truth will be out there.hizi ndo njia zote za kuwasiliana nae hii ni number yake ya simu +255 713 730 256.
facebook na twitter anatumia jina lake la zitto kabwe
email yake ya bunge ni kzitto@parliament.go.tz
kaka fitinamwiko nakwachia mwenyewe uchague njia ipi nzuri ya kuwasiliana nae. goodluck
Slaa alipokua anaongoza kamati ya bunge mbona alikuwa anashilikiriana na Serikali ktk mambo ya msingi,hivi mambo yaliyofanywa na Zitto hamuoni mfano bunge lililopita!Jimbo la Zitto,JK kapata kura nyingi, pia kanda yenu ya kaskazini mumezoea kupata,Kigoma hamna awamu ilioifanyia mambo kama awamu ya 4.
HUFA ULIANZA PALE TU,ZITTO ALIPOTAKA KUGOMBEA UWENYEKITI NA KUOBWA NA WAZEE AJITOE,MBOE AKAPITA BILA KUPINGWA.
Mimi nilimfuta ZZK akilini nilipojua anamiliki Hummer! Hili ni gari ya anasa, ni gari za kina messi, drogba, 50cent-watu ambao unaweza ukasema "wanachota" pesa. Si gari ya kutumia mwakilishi wa wananchi maana ni gari ya kuonyeshea jeuri ya pesa. Naomba ieleweke kwamba sina pingamizi kwa viongozi wetu kutumia usafiri bora utakaowawezesha kufika hata vijijini, ninapinga anasa maana ktk anasa watu hulewa na wakilewa huwatapikia waliowabeba.
Ndio, mtu mlevi wa madaraka hana maono, atataka tu kutuonyesha kwamba nae anaweza akapambana akawa kiongozi wa juu ktk nchi yetu. Watanzania hawahitaji wala kustahili kuwa na kiongozi mwingine anayetaka tu historia ije isome jina lake kati ya viongozi waliowahi kuliongoza taifa letu. Hatutaki urais wa mtu binafsi "kujinoma". There is no time for personal victory in this country, never again!
kumbe ndo mtindo wa cdm kutoa matamko ili wapewe chao wakae kimya,maana hata slaa na mnyika wako midomo juu sana kutoa vitisho kama huyu zito
Mh Mnyika ukiwa kama msemaji wa CDM, tunaomba utuwekee wazi msimamo wa chama chako. Tumeona Mh Zitto mara kwa mara akisafiri na Mh JK, na wachangiaji wengi hapa ktk JF tumemshutumu Mh Kabwe bila ya kumpa nafasi ya kujitetea. Naomba utujibu kwa undani maswali haya
1) Je Mh Zitto kabla ya kusafiri na Mh JK huomba kibali na kupata balaka zote za CDM katika hizo safari?
2) Je Mh Zitto husafiri kama Mh Zitto moja wa viongozi wa juu wa CDM au Mwenyekiti wa kamati ya Bunge?
3) Je Mh Zitto anaporudi hutoa tathimini ya safari zake katika vikao vya juu vya CDM?
4) Mbona CDM imekaa kimyakatika kulizungumzia hili jambo lenye utata na nini msimamo wa chama chako?
5) Je yupo kiongozi yeyote wa CDM aliyepata kusafiri na JK? na ni nani hupendekeza majina itokeapo safari?
Zitto, kama kweli huna Hummer, niwie radhi. Hili jambo limekuwa likizungumzwa kwa muda mrefu kwenye mitandao na wewe hujawahi kukana kwa uwazi kama leo. Sikupenda kuamini habari ya kwenye mtandao, lakini wik mbili zilizopita nimewasikia watu wa kawaida-wapiga debe wa stendi ya mkoa dodoma wakisema unayo hiyo gari-nikashawishika kuamini. Sina wivu wala husda na wewe maana daima uongo hujitenga na ukweli hudhihiri, nipo tayari kukuunga mkono itakapodhihirika vinginevyo.Ulipojua namiliki Hummer? Sijawahi kumiliki Hummer. Hivi umeshawahi kuliona Hilo Hummer la Zitto? Hivi Hilo Hummer haliendeshwi? Linakaa wapi? Maana Mimi nakaa flats za nssf Tabata, parking ipo wazi Kabisa. Hivi hamuwezi kutumia akili kidogo kujua ukweli?
Sitoi vitisho. List of shame tulitoa ultimatum tarehe 20 agosti mwaka 2007 na kutangazwa tarehe 15 sept.
Lazy mind