Maswali yaliyonitesa kichwa kwenye 'written interview' Utumishi

Maswali yaliyonitesa kichwa kwenye 'written interview' Utumishi

nyeupe7

Member
Joined
Feb 11, 2022
Posts
9
Reaction score
3
wale wajuzi wa resarch naombeni majibu kwa haya maswali

1. Mention components of research design

2. Analysis of data in research is done in stages. Explain
 
Wazazi wako wamepata khasara kubwa mno na hela waliotumia kukusomesha ni kama yai viza 😎 kijana maswali nyanya hayo yakubonda kabisa.

Ipo siku mtihani wa utumishi utavuma zaid ya kusaka vyeti kisa umburula😁
 
Wazazi wako wamepata khasara kubwa mno na hela waliotumia kukusomesha ni kama yai viza [emoji41] kijana maswali nyanya hayo yakubonda kabisa.
Ipo siku mtihani wa utumishi utavuma zaid ya kusaka vyeti kisa umburula[emoji16]
Jibu .. acha maneno
 
Components of a research design

1) Type of information need to address the research problem
2) Deciding on the overall design
3) Measurement design
4) Forms for data collection
5) Sampling plan
6) Data analysis plan

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Wazazi wako wamepata khasara kubwa mno na hela waliotumia kukusomesha ni kama yai viza 😎 kijana maswali nyanya hayo yakubonda kabisa.
Ipo siku mtihani wa utumishi utavuma zaid ya kusaka vyeti kisa umburula😁
Mr,, hayo maswali utayaona kama yakisenge Ila kama Ila kama umeingia kwenye pepa bila kupitia huwez kutoboa plus stress za mda mchache kwenye pepa za utumishi
 
Wazazi wako wamepata khasara kubwa mno na hela waliotumia kukusomesha ni kama yai viza [emoji41] kijana maswali nyanya hayo yakubonda kabisa.
Ipo siku mtihani wa utumishi utavuma zaid ya kusaka vyeti kisa umburula[emoji16]
Neno lenyewe research hajui kuliandika atajibu maswali kweli
 
Level yako ya elimu ni ipi?

Kama umefika level ya chuo kikuu,na hujui components za research design, na hujui hata jinsi ya kutafuta maana yake kwa kupitia educational sites mbalimbali mitandaoni, basi kama taifa, TUMEKWISHA!
 
Hayo maswali ni magumu, tena magumu sana ila wajuaji wanajifanya wanakushangaa. Ukitaka kujua ni magumu mwambie kila mchangiaji atoe majibu, hapo utakusanya majibu tofauti kibao sasa lipi ndio linaitajika. Kuna tofauti ya jibu sahihi, jibu na jibu linalohitajika
 
stage of data analysis in research
1) data editing
2)data coding
3) data entry
4) data processing
5)data cleaning
6)exploratory data analysis
7)modeling and algorithms

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Hapo 6 kwani lazima niwe nimefanya exploratory, what if nimefanya hypothesis testing au explanatory
 
Hapo 6 kwani lazima niwe nimefanya exploratory, what if nimefanya hypothesis testing au explanatory
Mwenyewe nilisemaga hayo maswali ni magumu alafu kule utumishi wanatoa mda mdogo hvyo kama mtoa mada hakupitia before lazima adabe, pia hata hapa Kila mtu anatoa jibu lake yaan hakuna jibu linaloonekana ni sahihi.. Pia hata huko google ukisearch unaletewa majibu kibao Hadi unachanganyikiwa
 
Kweli Tanzania Tatizo ni lugha ndugu zangu. Hii ni aibu sana badilisheni mfumo hilo swali litaonekana ni kama story za ngoswe
Research haijibiwi na utaalamu wa lugha wewe meneja. Research is a systematic and scientific....
No matter what utaweka definition ila hayo maneno mawili ndio key terms.

Ukishaona kitu kinatakiwa kuwa systematic and scientific ujue hata uwe umezaliwa Uingereza na English umeitumia kunywea uji, hujibu hilo swali kama hujasoma na huelewi. Hizi sio strategies to.., impacts of..., consequences of..., towards the...
 
Acheni ujuaji wa kijinga! Hayo maswali ni magumu sana! Inabidi uwe mtu wa kusoma sana na mtu wakuwa up-to-date sana! Vinginevyo utashindwa tu! Mtu umemaliza chuo miaka 7 huko,unapiga mishe za udalali siku unaenda kwenye usaili,unakutana na maswali kama hayo,utatoboa kweli??

1. Niliwahi ulizwa Juice kwa kiswahili,nilibaki natoa macho tu.

2. Password kwa kiswahili
3. Nchi ya kwanza kuanzishwa duniani
4. Nchi ndogo kabisa duniani
5. Mwendesha mashitaka wa ICC 2015
6. Msajiri wa vyaka vya siasa Tanzania 2015
7. Mwenyekiti wa tume ya taifa ya uchaguzi 2015!

Kazi ilikua Operations officer PPF enzi hizo!
 
Research haijibiwi na utaalamu wa lugha wewe meneja. Research is a systematic and scientific....
No matter what utaweka definition ila hayo maneno mawili ndio key terms.

Ukishaona kitu kinatakiwa kuwa systematic and scientific ujue hata uwe umezaliwa Uingereza na English umeitumia kunywea uji, hujibu hilo swali kama hujasoma na huelewi. Hizi sio strategies to.., impacts of..., consequences of..., towards the...
Nakubali mkuu
 
Back
Top Bottom