Maswali yaliyonitesa kichwa kwenye 'written interview' Utumishi

Maswali yaliyonitesa kichwa kwenye 'written interview' Utumishi

Wazazi wako wamepata khasara kubwa mno na hela waliotumia kukusomesha ni kama yai viza 😎 kijana maswali nyanya hayo yakubonda kabisa.

Ipo siku mtihani wa utumishi utavuma zaid ya kusaka vyeti kisa umburula😁
Ufahamu wako ndipo ulipoishia?
 
Components of a research design

1) Type of information need to address the research problem
2) Deciding on the overall design
3) Measurement design
4) Forms for data collection
5) Sampling plan
6) Data analysis plan

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Ahsante kwa kunipa mwanga,
 
Level yako ya elimu ni ipi?

Kama umefika level ya chuo kikuu,na hujui components za research design, na hujui hata jinsi ya kutafuta maana yake kwa kupitia educational sites mbalimbali mitandaoni, basi kama taifa, TUMEKWISHA!
acha kulalama wewe, jibu maswali kama haujui pita kushoto usinitoe nje ya reli
 
Utumishi wanakula rushwa wana watu wao ambao wametoa rushwa ya milioni mbili mbili kwa nafasi ya kazi,hivyo ukiomba kazi ajira portal jua wanafanya formalities tu lkn wana watu wao tayri hata kama utajibu maswali yao kwa ufasaha.
 
Acheni ujuaji wa kijinga! Hayo maswali ni magumu sana! Inabidi uwe mtu wa kusoma sana na mtu wakuwa up-to-date sana! Vinginevyo utashindwa tu! Mtu umemaliza chuo miaka 7 huko,unapiga mishe za udalali siku unaenda kwenye usaili,unakutana na maswali kama hayo,utatoboa kweli??

1. Niliwahi ulizwa Juice kwa kiswahili,nilibaki natoa macho tu.

2. Password kwa kiswahili
3. Nchi ya kwanza kuanzishwa duniani
4. Nchi ndogo kabisa duniani
5. Mwendesha mashitaka wa ICC 2015
6. Msajiri wa vyaka vya siasa Tanzania 2015
7. Mwenyekiti wa tume ya taifa ya uchaguzi 2015!

Kazi ilikua Operations officer PPF enzi hizo!

Naikumbuka hii, hivi matokeo yalitoka? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Acheni ujuaji wa kijinga! Hayo maswali ni magumu sana! Inabidi uwe mtu wa kusoma sana na mtu wakuwa up-to-date sana! Vinginevyo utashindwa tu! Mtu umemaliza chuo miaka 7 huko,unapiga mishe za udalali siku unaenda kwenye usaili,unakutana na maswali kama hayo,utatoboa kweli??

1. Niliwahi ulizwa Juice kwa kiswahili,nilibaki natoa macho tu.

2. Password kwa kiswahili
3. Nchi ya kwanza kuanzishwa duniani
4. Nchi ndogo kabisa duniani
5. Mwendesha mashitaka wa ICC 2015
6. Msajiri wa vyaka vya siasa Tanzania 2015
7. Mwenyekiti wa tume ya taifa ya uchaguzi 2015!

Kazi ilikua Operations officer PPF enzi hizo!
Mbona maswali rahisi sasa? Watoto wa IFM vichwa vigumu
 
Utumishi wanakula rushwa wana watu wao ambao wametoa rushwa ya milioni mbili mbili kwa nafasi ya kazi,hivyo ukiomba kazi ajira portal jua wanafanya formalities tu lkn wana watu wao tayri hata kama utajibu maswali yao kwa ufasaha.
mbona na sisi masikini tunapata bila hongo. Ukishindwa au ukiona ulijibu vizuri jua kuna waliojibu vizuri zaidi yako.
 
wale wajuzi wa resarch naombeni majibu kwa haya maswali

1. Mention components of research design

2. Analysis of data in research is done in stages. Explain
Asa mbona ndo maswali mepesi kuliko yote kwenye interviews [emoji1] au kwa sababu nimefundisha sana research
 
Components of a research design

1) Type of information need to address the research problem
2) Deciding on the overall design
3) Measurement design
4) Forms for data collection
5) Sampling plan
6) Data analysis plan

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app

Hizi sio component,hizi ni steps involved in Research design
 
wale wajuzi wa resarch naombeni majibu kwa haya maswali

1. Mention components of research design

2. Analysis of data in research is done in stages. Explain
components of research design-hapa anataka umention ila sio mbaya ukajua na maelezo ya point moja moja

1. Research study’s questions
2. Study propositions
3. Unit(s) of analysis
4. Linking data to propositions
5. Interpreting a study’s findings

stages of data analysis- hapa anataka utoe maelezo jazia nyama mkuu

  • Ask The Right Questions.
  • Data Collection.
  • Data Cleaning.
  • Analyzing The Data.
  • Interpreting The Results
NB: maswali haya sio marahis kama kula tunda kimasihara kama swali la pili lipo very tricky na kama hukupitia pitia huwez pata majibu…
 
Back
Top Bottom