Maswali yanayoniumiza akili

Maswali yanayoniumiza akili

Under-cover

JF-Expert Member
Joined
Nov 13, 2023
Posts
1,834
Reaction score
3,042
Mimi ni nina maswali kadhaa kuhusu hizi imani zetu hizi, naomba kwa wenye uelewa wanijibu 🙂,
1.Tunaamini Mungu anajua kila kitu , mambo yaliopita, ya sasa, na yajayo sio?, ok ivi ni kwanini wakati wa uumbaji wake aliamua kumuumba lusifa ambaye baade aligeuka kuwa shetani, je hakujua kuwa hiki kiumbe nachokiumba kitakuja kuleta madhar duniani au kukengeuka?,

2. Kama shetani aliweza kuishawishi theruthi moja ya malaika mbinguni na wakamuasi Mungu tena waliyekuwa wanamuona ,je huyo huyo atashindwa vipi kumpotosha binadamu kupitia hayo hayo maandiko ?

3. Mwanzo dhambi haikuwako kabisaa huko mbinguni , ila baadae ililuja jitokeza kupitia kwa malaika wa sifa lusifa aliyekuwa mtakatifu , vipi kwa wale wanaoamini katika ulimwengu ujao kuishi maisha matakatifu na yasio na shida, je hakkutatokea tena ukengeufu kama mbingu ya mwanzo, maana hata wale watakatifu malaika walitenda dhambi na wakafukuzwa.

4. Nilisoma katika biblia sikumbuki ni kifungu gani, kinasema, Nawafahamu walio wangu toka kuumbwa kwa ulimwengu, hapa Mungu alikuwa ana maana gan?, kama toka mwanzo wa ulimwengu hatima ya mtu inajulikana kwa Mungu, sasa kwanin watu wajiangaishe kuutafuta uzima wa milele wakati ni kama kila kitu kilishakuwa planned , ni kusubiri tu wapi mtu ataangukia alipoandikiwa?

5. Iv Mungu anafanya kazi kwa watu wa aina gani? kuna msabato, m roman, mlokole, kkkt, pentekoste, na hapa kila mmoja anamuona mwenzake kapotea, lakini huwezi kusema katika hayo madhehebu yote ukakosa baadhi ya watakatifu , na hapa kila mmoja anakwambia ana ongozwa na roho mtakatifu, napenda kuchukulia mfao hawa walokole na wasabato mara nyingi huwa kila mmoja anasema ana roho mtakatifu anamuongoza, na naamin wapo walio na roho mtakatifu, swali je kama mna roho mtakatifu kwanini mmetengana , kwanin kila mmoja anamuona mwenzie kapotea?
HAYO NI MASWALI BAADHI TU KWANZA.
 
Isaya 66:22
Kama vile mbingu mpya na nchi mpya, nitakazofanya, zitakavyokaa mbele zangu, asema Bwana, ndivyo uzao wenu na jina lenu litakavyokaa.

Isaya 65:17
Maana, tazama, mimi naumba mbingu mpya na nchi mpya, na mambo ya kwanza hayatakumbukwa, wala hayataingia moyoni.

2Petro 3:13
Lakini, kama ilivyo ahadi yake, mnatazamia mbingu mpya na nchi mpya, ambayo haki yakaa ndani yake.

Muumba hufanya kazi kwa majira au wakati yaani kama majira ya jambo husika haijafika hafanyi.

Mbinguni tulipofundishwa kuwa anakaa hapo haikuwa hivyo bali alikuwa mahali pake maana hata lazaro alipoenda na watakatifu waliotangulia walifikia kifuani mwa Ibrahimu kufarijiwa.

Luka 16:19-26
23 Basi, kule kuzimu aliyainua macho yake, alipokuwa katika mateso, akamwona Ibrahimu kwa mbali, na Lazaro kifuani mwake.

Muumba yeye huangalia mbele tu, alimuumba kerubi mtakatifu mkamilifu wa kwanza lakini naye alidanganywa akatupwa chini,utajiuliza ilikuwaje?

Kiufupi uumbaji wote ulikuwa kwenye uteka na Muumba alisubiri Majira yake ifike aje mwenyewe kututoa hapo maana hakuna mtume wala nabii aliyeweza ndo maana anasema katika

1Korintho 15:24-28
24 Hapo ndipo mwisho, atakapompa Mungu Baba ufalme wake; atakapobatilisha utawala wote, na mamlaka yote, na nguvu.

25 Maana sharti amiliki yeye, hata awaweke maadui wake wote chini ya miguu yake.

26 Adui wa mwisho atakayebatilishwa ni mauti.

27 Kwa kuwa, Alivitiisha vitu vyote chini ya miguu yake. Lakini atakaposema, Vyote vimetiishwa, ni dhahiri ya kuwa yeye aliyemtiishia vitu vyote hayumo.

28 Basi, vitu vyote vikiisha kutiishwa chini yake, ndipo Mwana (Yesu) mwenyewe naye atatiishwa chini yake yeye aliyemtiishia vitu vyote, ili kwamba Mungu awe yote katika wote.

Ukisoma hiyo mistari hapo juu utagundua vitu vyote vilikuwa chini ya mauti na mwana lakini akili ya mtu ikifika mwisho ndipo atarejeshewa ufalme,utawala, mamlaka na nguvu maana sharti amiliki yeye. Na amesema akija ataibatilisha mauti maana wengi hudhani Muumba anauwa kama mapokeo waliyokuta yanavyosema.
 
Isaya 66:22
Kama vile mbingu mpya na nchi mpya, nitakazofanya, zitakavyokaa mbele zangu, asema Bwana, ndivyo uzao wenu na jina lenu litakavyokaa.

Isaya 65:17
Maana, tazama, mimi naumba mbingu mpya na nchi mpya, na mambo ya kwanza hayatakumbukwa, wala hayataingia moyoni.

2Petro 3:13
Lakini, kama ilivyo ahadi yake, mnatazamia mbingu mpya na nchi mpya, ambayo haki yakaa ndani yake.

Muumba hufanya kazi kwa majira au wakati yaani kama majira ya jambo husika haijafika hafanyi.

Mbinguni tulipofundishwa kuwa anakaa hapo haikuwa hivyo bali alikuwa mahali pake maana hata lazaro alipoenda na watakatifu waliotangulia walifikia kifuani mwa Ibrahimu kufarijiwa.

Luka 16:19-26
23 Basi, kule kuzimu aliyainua macho yake, alipokuwa katika mateso, akamwona Ibrahimu kwa mbali, na Lazaro kifuani mwake.

Muumba yeye huangalia mbele tu, alimuumba kerubi mtakatifu mkamilifu wa kwanza lakini naye alidanganywa akatupwa chini,utajiuliza ilikuwaje?

Kiufupi uumbaji wote ulikuwa kwenye uteka na Muumba alisubiri Majira yake ifike aje mwenyewe kututoa hapo maana hakuna mtume wala nabii aliyeweza ndo maana anasema katika

1Korintho 15:24-28
24 Hapo ndipo mwisho, atakapompa Mungu Baba ufalme wake; atakapobatilisha utawala wote, na mamlaka yote, na nguvu.

25 Maana sharti amiliki yeye, hata awaweke maadui wake wote chini ya miguu yake.

26 Adui wa mwisho atakayebatilishwa ni mauti.

27 Kwa kuwa, Alivitiisha vitu vyote chini ya miguu yake. Lakini atakaposema, Vyote vimetiishwa, ni dhahiri ya kuwa yeye aliyemtiishia vitu vyote hayumo.

28 Basi, vitu vyote vikiisha kutiishwa chini yake, ndipo Mwana (Yesu) mwenyewe naye atatiishwa chini yake yeye aliyemtiishia vitu vyote, ili kwamba Mungu awe yote katika wote.

Ukisoma hiyo mistari hapo juu utagundua vitu vyote vilikuwa chini ya mauti na mwana lakini akili ya mtu ikifika mwisho ndipo atarejeshewa ufalme,utawala, mamlaka na nguvu maana sharti amiliki yeye. Na amesema akija ataibatilisha mauti maana wengi hudhani Muumba anauwa kama mapokeo waliyokuta yanavyosesijaelewa vizuri, ila nitaji

Isaya 66:22
Kama vile mbingu mpya na nchi mpya, nitakazofanya, zitakavyokaa mbele zangu, asema Bwana, ndivyo uzao wenu na jina lenu litakavyokaa.

Isaya 65:17
Maana, tazama, mimi naumba mbingu mpya na nchi mpya, na mambo ya kwanza hayatakumbukwa, wala hayataingia moyoni.

2Petro 3:13
Lakini, kama ilivyo ahadi yake, mnatazamia mbingu mpya na nchi mpya, ambayo haki yakaa ndani yake.

Muumba hufanya kazi kwa majira au wakati yaani kama majira ya jambo husika haijafika hafanyi.

Mbinguni tulipofundishwa kuwa anakaa hapo haikuwa hivyo bali alikuwa mahali pake maana hata lazaro alipoenda na watakatifu waliotangulia walifikia kifuani mwa Ibrahimu kufarijiwa.

Luka 16:19-26
23 Basi, kule kuzimu aliyainua macho yake, alipokuwa katika mateso, akamwona Ibrahimu kwa mbali, na Lazaro kifuani mwake.

Muumba yeye huangalia mbele tu, alimuumba kerubi mtakatifu mkamilifu wa kwanza lakini naye alidanganywa akatupwa chini,utajiuliza ilikuwaje?

Kiufupi uumbaji wote ulikuwa kwenye uteka na Muumba alisubiri Majira yake ifike aje mwenyewe kututoa hapo maana hakuna mtume wala nabii aliyeweza ndo maana anasema katika

1Korintho 15:24-28
24 Hapo ndipo mwisho, atakapompa Mungu Baba ufalme wake; atakapobatilisha utawala wote, na mamlaka yote, na nguvu.

25 Maana sharti amiliki yeye, hata awaweke maadui wake wote chini ya miguu yake.

26 Adui wa mwisho atakayebatilishwa ni mauti.

27 Kwa kuwa, Alivitiisha vitu vyote chini ya miguu yake. Lakini atakaposema, Vyote vimetiishwa, ni dhahiri ya kuwa yeye aliyemtiishia vitu vyote hayumo.

28 Basi, vitu vyote vikiisha kutiishwa chini yake, ndipo Mwana (Yesu) mwenyewe naye atatiishwa chini yake yeye aliyemtiishia vitu vyote, ili kwamba Mungu awe yote katika wote.

Ukisoma hiyo mistari hapo juu utagundua vitu vyote vilikuwa chini ya mauti na mwana lakini akili ya mtu ikifika mwisho ndipo atarejeshewa ufalme,utawala, mamlaka na nguvu maana sharti amiliki yeye. Na amesema akija ataibatilisha mauti maana wengi hudhani Muumba anauwa kama mapokeo waliyokuta yanavyosema.
mkuu bado sijaelewa vizuri, ila pia hapo kwa luka 16 , nina swali, sijui niongeze hapa kwako au wakati mwingine.
 
Mimi ni nina maswali kadhaa kuhusu hizi imani zetu hizi, naomba kwa wenye uelewa wanijibu 🙂,
1.Tunaamini Mungu anajua kila kitu , mambo yaliopita, ya sasa, na yajayo sio?, ok ivi ni kwanini wakati wa uumbaji wake aliamua kumuumba lusifa ambaye baade aligeuka kuwa shetani, je hakujua kuwa hiki kiumbe nachokiumba kitakuja kuleta madhar duniani au kukengeuka?,

2. Kama shetani aliweza kuishawishi theruthi moja ya malaika mbinguni na wakamuasi Mungu tena waliyekuwa wanamuona ,je huyo huyo atashindwa vipi kumpotosha binadamu kupitia hayo hayo maandiko ?

3. Mwanzo dhambi haikuwako kabisaa huko mbinguni , ila baadae ililuja jitokeza kupitia kwa malaika wa sifa lusifa aliyekuwa mtakatifu , vipi kwa wale wanaoamini katika ulimwengu ujao kuishi maisha matakatifu na yasio na shida, je hakkutatokea tena ukengeufu kama mbingu ya mwanzo, maana hata wale watakatifu malaika walitenda dhambi na wakafukuzwa.

4. Nilisoma katika biblia sikumbuki ni kifungu gani, kinasema, Nawafahamu walio wangu toka kuumbwa kwa ulimwengu, hapa Mungu alikuwa ana maana gan?, kama toka mwanzo wa ulimwengu hatima ya mtu inajulikana kwa Mungu, sasa kwanin watu wajiangaishe kuutafuta uzima wa milele wakati ni kama kila kitu kilishakuwa planned , ni kusubiri tu wapi mtu ataangukia alipoandikiwa?

5. Iv Mungu anafanya kazi kwa watu wa aina gani? kuna msabato, m roman, mlokole, kkkt, pentekoste, na hapa kila mmoja anamuona mwenzake kapotea, lakini huwezi kusema katika hayo madhehebu yote ukakosa baadhi ya watakatifu , na hapa kila mmoja anakwambia ana ongozwa na roho mtakatifu, napenda kuchukulia mfao hawa walokole na wasabato mara nyingi huwa kila mmoja anasema ana roho mtakatifu anamuongoza, na naamin wapo walio na roho mtakatifu, swali je kama mna roho mtakatifu kwanini mmetengana , kwanin kila mmoja anamuona mwenzie kapotea?
HAYO NI MASWALI BAADHI TU KWANZA.
Mkuu achana na mambo ya kusadikika, ishi maisha yako.
 
Tafuta book of wisdom kwanza uelewe na uachane na mambo ya dini
 
Ayubu 1 (Biblia Takatifu)
¯¯¯¯¯¯¯¯¯¯
⁶ Ilikuwa, siku moja ambayo hao wana wa Mungu walikwenda kujihudhurisha mbele za Bwana, Shetani naye akaenda kati yao.
⁷ Bwana akamwuliza Shetani, Umetoka wapi wewe? Ndipo Shetani akamjibu Bwana, na kusema, Natoka katika kuzunguka-zunguka duniani, na katika kutembea huku na huku humo.
⁸ Kisha Bwana akamwuliza Shetani, Je! Umemwangalia huyo mtumishi wangu Ayubu? Kwa kuwa hapana mmoja aliye kama yeye duniani, mtu mkamilifu na mwelekevu, mwenye kumcha Mungu na kuepukana na uovu.


¹² Bwana akamwambia Shetani, Tazama, yote aliyo nayo yamo katika uwezo wako; lakini usinyoshe mkono wako juu yake yeye mwenyewe. Basi Shetani akatoka mbele za uso wa Bwana.
 
Mungu alishakujua wew utakuja hapa jf kumkashifu ndo maana akasema watu wake anawajua mkuu wew ishi tu ila Mungu hana mpango na wew cos wew sio mtu wake.........
 
Mungu alishakujua wew utakuja hapa jf kumkashifu ndo maana akasema watu wake anawajua mkuu wew ishi tu ila Mungu hana mpango na wew cos wew sio mtu wake.........
kumkashifu ndio nini sasa? uwezo wa kufikiria mambo mbali mbali nani alitupa? , n vibaya kuuliza mambo?
 
Back
Top Bottom