MAT wakanusha taarifa za kuridhishwa na upatikanaji wa vifaa-kinga

MAT wakanusha taarifa za kuridhishwa na upatikanaji wa vifaa-kinga

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
Gazeti kada la Habari Leo lilitoa propaganda kuwa madaktari wameridhishwa na utolewaji wa vifaa-kinga kwa wahudumu wa afya. Propaganda hiyo imekanushwa na rais wa MAT Dr. Elisha.

Tunaisisitiza serikali na wadau kuelekeza nguvu kwa wahudumu maana wameanza kukimbia wagonjwa. Wahudumu wanahitaji zaidi ya barakoa.

MAT.JPG
Osati.JPG
 
View attachment 1428927
Gazeti kada la Habari Leo lilitoa propaganda kuwa madaktari wameridhishwa na utolewaji wa vifaa-kinga kwa wahudumu wa afya. Propaganda hiyo imekanushwa na rais wa MAT Dr. Elisha.

Tunaisisitiza serikali na wadau kuelekeza nguvu kwa wahudumu maana wameanza kukimbia wagonjwa. Wahudumu wanahitaji zaidi ya barakoa
Gazeti la serikali kwanini lidanganye? Waziri Mwakyembe Fungia miezi 6.
Linakuwa na tabia kama za kina Tz daima.
 
Sasa wanadanganya kwa faida ya nani? Hawaoni huruma kama mdaktari na wauguzi wakifanya kaz kwenye mazingira hatarishi tunahatarisha familia zao?
 
Gazeti la habri leo limedanganya umma wa watanzania kwamba madaktari wamejitoshe na vifaa tiba, habari hiyo imekanushwa, halijafungiwa kama mwananchi iliyomposti Jiwe akiwa feri anachuuza samaki kwenye moja ya maigizo yake kabla ya kukimbilia Chato
imegundulika Habari Leo ni TABLOID cha serikali
government of the United Republic of Tanzania

Habari Leo is a Kiswahili language daily tabloid published by Tanzania Standard Newspapers Limited (TSN). Founded in 2006 by TSN, Habari Leo is owned by the government of the United Republic of Tanzania that holds 99% shares and the Managing Editor holds 1% share
 
Ile bohari ilopigwa moto iliteketeza vifaa kinga vingi tu, swali ni je nini lengo la kuitia moto.?
 
Back
Top Bottom