paul sylvester
JF-Expert Member
- Mar 18, 2020
- 3,503
- 3,499
CCM haijawahi kuwa na mtu mfano wako, CCM mwaka huu, wanakampeni za raha mstarehe tofauti Kabisa na miaka iliyopita kwani haina upinzaniAmani iwe juu yenu.
Uchaguzi ni ushawishi, Sera na misimamo ya mtu. Ili uchaguliwe inabidi uwe unauwezo wa kumshawishi mtu kupitia Sera zako na vipaumbele vyako. Waambie wananchi umefanya nini kama ulipewa dhamana ya uongozi na utafanya nini kuboresha zaidi kama unaomba tena upewe ridhaa ya uongozi kwa Mara nyingine...
Sasa ulitaka kujipachika u CCM wa kutoka wapi sasa mkuu,Ndio kwa sababu waliopo kule wote ni mazezeta NAMI SI ZEZETA KAMA NINYI.
Hehehe yeye mwenyewe hajikubali, hao watanzania watako mkubali labda mazezeta yanayolipwa na ccm kama wewe na Bia YetuNdio hivyo Mkuu Rais Magufuli anakubalika na Watanzania 97%
Nadhani thread inajitosheleza na wananchi wanaelewa vizuri. Kwa sasa tuachane na mambo ya vyama. Magufuli hafai kuwa rais wa tanzania. Ametupotezea miaka mitano sasa tusirudie kosa uwe mwana ccM uwe mpinzaniAmani iwe juu yenu.
Uchaguzi ni ushawishi, Sera na misimamo ya mtu. Ili uchaguliwe inabidi uwe unauwezo wa kumshawishi mtu kupitia Sera zako na vipaumbele vyako. Waambie wananchi umefanya nini kama ulipewa dhamana ya uongozi na utafanya nini kuboresha zaidi kama unaomba tena upewe ridhaa ya uongozi kwa Mara nyingine...
Hata wanavyoposti havieelweki. Wenzao akina Gentamycin wameahakubali gemu la Lissu, TumainEl, kipara kipya, stroke, johnthebaptist, mzalendo2015, GUSSIE wameshaokoka.Kawe Alumin na Mwenzake Bia Yetu wanabadilishana shift, hawa wanalipwa kuandika humu na CCM msija shindana nao, Bando lao ni kodi yetu wanatumia.
Achana na mahuni hayo..watu wa bangi na konyagi,chadema ni chama cha wahuni wakubwa na hua wanadhani kila anaye waponda ni mtu wa CCM, tulitaka kama kuiamini chadema lakini kumbe ni bure kabisa na yangeuza nchi yetu haya kwa wazunguWatanzania 97% wanamkubali Magufuli na CCM, nyie Chadema mtapigwa kura na Wazungu
Siasa inaupande na unafiki ni sehemu kubwa ya Siasa.Amani iwe juu yenu.
Uchaguzi ni ushawishi, Sera na misimamo ya mtu. Ili uchaguliwe inabidi uwe unauwezo wa kumshawishi mtu kupitia Sera zako na vipaumbele vyako. Waambie wananchi umefanya nini kama ulipewa dhamana ya uongozi na utafanya nini kuboresha zaidi kama unaomba tena upewe ridhaa ya uongozi kwa Mara nyingine....
Aisee huu ni ushabiki na ushabiki hauzingatii ukweli au uhalisia. Ni nasoma sura za wagombea sikosi kusikiliza hotuba zao huko Youtube naona kuna waloopaniki kupitiliza!CCM haijawahi kuwa na mtu mfano wako, CCM mwaka huu, wanakampeni za raha mstarehe tofauti Kabisa na miaka iliyopita kwani haina upinzani
Umepiga mule muleAmani iwe juu yenu.
Uchaguzi ni ushawishi, Sera na misimamo ya mtu. Ili uchaguliwe inabidi uwe unauwezo wa kumshawishi mtu kupitia Sera zako na vipaumbele vyako. Waambie wananchi umefanya nini kama ulipewa dhamana ya uongozi na utafanya nini kuboresha zaidi kama unaomba tena upewe ridhaa ya uongozi kwa Mara nyingine...
Hivi tunapopambana kuinua utalii tunataka nani waje. Sidhani kama ni nyamulenge.Achana na mahuni hayo..watu wa bangi na konyagi,chadema ni chama cha wahuni wakubwa na hua wanadhani kila anaye waponda ni mtu wa CCM, tulitaka kama kuiamini chadema lakini kumbe ni bure kabisa na yangeuza nchi yetu haya kwa wazungu