Vodka haziwezi kuwa msingi wa uchumi imaraRussia naona haiko kwenye orodha pamoja na wafuasi wake kuipigia debe🤣
Miaka 10 iliyopita gap ilikuwaje?Utajiri wa Marekani interms of GDP na percapita bado Marekani inaitupa mbali sana China
Labla hayo mengine atatuambia tukimfata PMHeading mataifa kumi halafu ujumbe ni mataifa matano.
Mbona ujerumani hakuna complicated kuomba visa maana tanzania ni koloni lake kama vile Uingereza kwaiyo simple sanaNoma sana nafikaje UJERUMANI wazee napatamani sana yani
wacha weee!Mbona ujerumani hakuna complicated kuomba visa maana tanzania ni koloni lake kama vile Uingereza kwaiyo simple sana
Hamna shida lete tu isiyo batili na Tanzania iwemo.Nchi ya kiarabu hata moja hakuna 😄 hii list ni batili
Mkuu,huyu mleta mada anaishi Marekani ya Ifakara,ni mmarekani mweusi wa state ya Ifakara.Heading mataifa kumi halafu ujumbe ni mataifa matano.
Yaongezee hayo matano yaliyobakiHeading mataifa kumi halafu ujumbe ni mataifa matano.