Mataifa kumi Afrika yenye barabara bora, nchi yako kama haiko koma ubishi

Pesa ya kujenga daraja moja tu la Kigamboni inatosha kujenga bara bara zote za nchi ya Rwanda na chenji ikabaki!
Acheni kufananisha Tz a vast country with some other tiny countries such as Kenya! Tanzania by size is nearly twice the size of Kenya!

Cha kushangaza, Kenya ni nchi ndogo ukilinganisha na Tanzania lakini inaizidi Tanzania kwa urefu, mtandao na ubora wa barabara.
 

Mapicha mapicha na video sio kigezo, hapa tunazungumza kuhusu taarifa ya kitaalam iliyofanywa kwenye mataifa yote duniani. Hata mimi naweza nikapiga mapicha ya Kenya na kuyaweka huku ila haitaashiria uhalisia. Kuna siku tulwafunika humu kwa picha za barabara za Kenya hadi mkatoweka.
 
Nani huyo mumshinde?
Hiyo research ilifanyika 2004, una habari kwamba barabara nyingi za Tanzania zimejengwa 2013 - 2019? Kwa ufupi saivi tu kuna zaidi ya kilometres 4000 zipo under construction nchi nzima, hii old report inakuwaje valid hapo?

After all wanaozisifia barabara za Tanzania na kuzilaumu za Kenya ni Wakenya wenzenu sisi Watanzania tunareport tu hapa ila ninyi ndio vinara wa kutumwagia misifa sasa sisi tufanyaje?, 😅😅😅😅
 
Huyo jamaa alishawahi kusema hatokaa aongee mazuri ya Tanzania [emoji23][emoji23][emoji23] Msamehe bure tu maana sio kupenda kwake
 

Research ya 2018, itawachukua muda mrefu sana kufikia level yetu kwa mlivyo wavivu

Quality of roads, 1(low) - 7(high), 2018
(points, Source: World Economic Forum, TheGlobalEconomy.com)
 
Tanzania ni nchi kubwa sana (ukichukua Kenya, Uganda, Burundi, Rwanda) bado hufikii size ya Tanzania. Hivyo hatutarajii kuwa na barabara nzuri kama wenzetu kwa sasa.

Facts
tanzania ina ukubwa wa 945,087Sq. Km
wakati Kenya 580,336Sq. Km,
Uganda 241,037 sq.km
Burundi 27,834Sq.Km na
Rwanda 26,338Sq.Km

Ukijumlisha wote unapata 875,545 sq.km

Hivyo bado zinabakia 69,542sq. Km sawa na Mbuga yote ya Selou, na mkoa wa Kilimanjaro

Ukiiangalia Rwanda Ukichukua Mkoa wa Kilimanjaro 13,250Sq. Km ukilinganisha Mkoa utaibuka kidedea kwa mbali sana


kuna wakati watu walinganishe Mbuzi na mbuzi au kondoo na kondoo sio Kondoo na Mbwa hata kama wote wanaweza kuwa chakula
 
Endelea na statistic uchwara [emoji23][emoji23][emoji23]

 
 
Huyo jamaa alishawahi kusema hatokaa aongee mazuri ya Tanzania [emoji23][emoji23][emoji23] Msamehe bure tu maana sio kupenda kwake
HALAFU jamaa ufisadi ndio unawafanya wapate barabara mbovu, check huu ufisadi mpya kwenye barabara mpaka Wamarekani wameshtuka.


HALAFU pesa zote hizo zinapelekwa kwenye route ambayo tayari ina SGR, then hapo unaona hawa jamaa sijui wanatumia nini kufikiria

SGR imewafanya bankrupted bado wanapeleka very expensive road project on the same place na yenyewe highly expensive
 
Takwimu zingine uwe na weww unafanya utafiti pia....

Visit rwanda hata mitandaoni utagundua....

Nchi nzima urefu wa bara bara ukiziunganisha hazifiki hata 1000miles. Na zimetengenezwa kwa kiwango cha chini kabisa kuanzia technolojia hadi mwonekano...

Hizi takwimu zinapikwa tu kuweka mambo sawa.

Tuje kenya.

Nitajie road zipi zilichunguzwa kuhusu uo utafiti....

Road zoote kuu ni za kifala.
Nairobi, eldoret, kisumu to busia... Road mbovu..

Nairobi, mombasa to horohoro hakuna kitu.
Nairobi to namanga... Pumba.

Lift valley ndio vumbi kabisaa...

Fanyia evaluation hizi vitu kabla haujapest.. Watu watakuchukulia hauna akili vizuur kumbe ni ushabiki tu
 
Me naomba unipe tafsiri ya hili

Sasa kulikuwa na ulazima gani wa SGR Mombasa to Nairobi? Two massive loans in one course.?

Naomba maelezo tafadhali.
 
Punguza hasira bro...iko siku mtafika tu n nyinyi..manake sio kw povu hili

Hahahaaaaaaaaaaa,kuwa na barabara nzuri huku tukifukua makaburi ya marehemu???.

Bora tuanze kwa kustaarabika kwanza vitu vizuri vitakuja tu baadae bila ya kuforce ili image ya nje ionekane mko vizuri kumbe siri ya mtungi aijuae ni...
 
Duuh ila hawa majirani zetu nao
 
Me naomba unipe tafsiri ya hili

Sasa kulikuwa na ulazima gani wa SGR Mombasa to Nairobi? Two massive loans in one course.?

Naomba maelezo tafadhali.
hata yeye jibu hana ni viuno tu anakatika.
 
Hahahaha dah asee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…