Mataifa machache Afrika ndio yaliyo na maabara yenye uwezo wa kukagua na kupima kirusi cha Corona

Mataifa machache Afrika ndio yaliyo na maabara yenye uwezo wa kukagua na kupima kirusi cha Corona

Kipimo muhimu kuliko vyote katika kupambana na kuenea kwa Corona na Ebola ni "Temperature screening", kipimo cha kupima virusi ni mpaka mtu aonyeshe dalili ndio vipimo vya damu vinachukuliwa kwa ajili ya kufanya "Confirmatory test", wakati huo mgonjwa ameshatengwa na jamii kusubiri matokeo ya vipimo vyake.

Kwa kifupi ni kwamba, kipimo cha joto ndio "Primary test yenye uwezo wa kukinga zaidi ya 80% ya maambukizi katika nchi, wakati laboratory test ni muhimu tu pale mtu abapoonyesha dalili au kama kuna wasiwasi ya huyo mtu kwamba anauwezekano wa kuwa na Corona, na wakati kikifanywa, huyo mtu lazima atengwe akisubiri majibu yake.

Muhimu ni nchi kuimarisha uwezo wake katika "Screening" sio katika laboratory testing", hiyo haisaidii katika kupambana na maambukizi ya Corona, pamoja na uwezo mkubwa wa kuweza kupima Virusi, lakini bado US na Europe wameamua kuzuia wasafiri kwenda ktk nchi zao.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nakwambia Kila siku wewe ni Low IQ. Wacha kutumia kichwa Kama kabati ya meno.
 
Hii ndio nimejaribu kuwaelimisha ila walivo hovyoo kuelewa hata vitu vidogo ni shida.
Ninyi uwezo wenu ni mdogo sana, hakuna mtu anayefanyiwa "testing" bila kuwa na dalili za Corona infection", kumbuka hiyo testing haipimi kuwepo kwa virusi mwilini, bali inapima "antibodies", hivyo kama mtu hajaonyesha dalili yoyote ya maambukizi, hata hizo antibodies pia haziwezi kuonekana, Kwahiyo utapata " false negative".
Hivi mnadhani kwanini GoK iliwaachia wale wachina waingie nchini lakini wajiweke wenyewe chini ya karantini majumbani mwao kwa siku 14?, kwanini wasingewapima moja kwa moja maabara na kujua kama wana virusi au hapana?

Hii mada inahitaji elimu ya "Microbiology&Virology", sasa msilazimishe kuchangia mada ambazo ni nje ya uwezo wenu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna nchi ambayo airport wanakupima Corona, nchi zote ni temperature screening tu,hata kwa nchi ambazo wana mandatory quarantine pia hazimpimi kila mtu ila ni yule anaye onyesha dalili au yule aliyekuwa na contact na muathirika.
 
Hakuna nchi ambayo airport wanakupima Corona, nchi zote ni temperature screening tu,hata kwa nchi ambazo wana mandatory quarantine pia hazimpimi kila mtu ila ni yule anaye onyesha dalili au yule aliyekuwa na contact na muathirika.

Umeeleza vizuri sana, na kwa kuongezea, kuna watu inawachukua muda sana kabla kuonyesha dalili, ikitokea hujamfanya quarantine kisa hujaona joto, atapita na kuwaambukiza wengi huko nje.
 
Serikal isitishe safari zote za Kenya Airways; hawa nyang'au tayari wameshakwaa virusi vya corona.
 
Screenshot 2020-03-15 18.29.42.png
 
Kwaiyo unamaanisha hata bila kuona homa wawe quarantined

Sent using Jamii Forums mobile app

Sio namaanisha, ndivyo inafanywa na baadhi ya mataifa, kila mgeni unakua quarantined kwa siku kadhaa hadi itokee kabisa huna dalili zozote.
Kuna nchi zimefunga. Total lockdown, hamna cha quarantine wala kupima, haingii mtu wala kutoka. Na hizo ni zile ambazo hamna mgonjwa aliyegundulika miongoni mwao, ili kubaki wasafi, wamefunga vyote.
 
Serikal isitishe safari zote za Kenya Airways; hawa nyang'au tayari wameshakwaa virusi vya corona.
Hamuna jeuri ya kusitisha safari yoyote kwa mlivyo maskini mnategemea sana visenti vya wageni.
Nimesoma sehemu kirusi kimetua kwenu kutoka Ubelgiji, niliwashauri mfunge ila mkasema mna vipima joto hivyo mpo salama.
 
Ulimshauri nani? Unadhani kuna wa kusikiliza huo ushauri wako kweli?
Hamuna jeuri ya kusitisha safari yoyote kwa mlivyo maskini mnategemea sana visenti vya wageni.
Nimesoma sehemu kirusi kimetua kwenu kutoka Ubelgiji, niliwashauri mfunge ila mkasema mna vipima joto hivyo mpo salama.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ulimshauri nani? Unadhani kuna wa kusikiliza huo ushauri wako kweli?

Sent using Jamii Forums mobile app

Si nyie wana Lumumba mnaopewa buku saba huwa mnasklizwa sana, hivyo nikiwashauri humu mnaweza mkawasilisha na kusababisha mambo yakaenda.
Sema kwa hili hamgesklizwa maana visenti vya wageni ndio uti wenu wa mgongo.
 
Hamuna jeuri ya kusitisha safari yoyote kwa mlivyo maskini mnategemea sana visenti vya wageni.
Nimesoma sehemu kirusi kimetua kwenu kutoka Ubelgiji, niliwashauri mfunge ila mkasema mna vipima joto hivyo mpo salama.
Wewe mkenya huna lolote. Kila siku kuranda randa kwenye hili jukawaa na vijistori vyako visivyo na mbele wala nyuma. Unafikiri utamtisha nani?
 
Back
Top Bottom