Mataifa machache Afrika ndio yaliyo na maabara yenye uwezo wa kukagua na kupima kirusi cha Corona

Wewe mkenya huna lolote. Kila siku kuranda randa kwenye hili jukawaa na vijistori vyako visivyo na mbele wala nyuma. Unafikiri utamtisha nani?

Hivi mbona huwa unalialia Mkenya akiitaja Tanzania, ilhali wewe hukesha humu ukituambia mambo ya sijui akina Ole Sakina na Kenya, mkuki kwa binadamu mchungu ila kwa nguruwe mtamu.
 
Hivi mbona huwa unalialia Mkenya akiitaja Tanzania, ilhali wewe hukesha humu ukituambia mambo ya sijui akina Ole Sakina na Kenya, mkuki kwa binadamu mchungu ila kwa nguruwe mtamu.
Acha kuweweseka wewe nyang'au. Tulia, hakuna mtu anayekupapatikia na huu upuuzi wako. Unaelewa?
 
Hawa watanzania wana za ovyo sana,when kq plane was diverted to KIA coz of visibility wameongea shit sana kuhusu Kenyans,kumbe ni mwenzao amewaletea corona

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi unajuaa kwamba kwenye huduma za afya ukiacha afrika kusini Tanzania tuko vizuri ndo maana hatukuhitaji msaada wa nchi yoyote kumtambua mgonjwa wa corona na anaendelea vizuri means huduma zetu za afya ziko vizuri
Hawa watanzania wana za ovyo sana,when kq plane was diverted to KIA coz of visibility wameongea shit sana kuhusu Kenyans,kumbe ni mwenzao amewaletea corona

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna nchi ambayo airport wanakupima Corona, nchi zote ni temperature screening tu,hata kwa nchi ambazo wana mandatory quarantine pia hazimpimi kila mtu ila ni yule anaye onyesha dalili au yule aliyekuwa na contact na muathirika.
Unatambuaje kwamba huyu alikuwa na contact ?
 
bongo ni sheedah .[emoji23]...uharo wa corona pamoja na lile li ebola lao, ongeza joto la dar!!sipati picha mazeee, poleni waswahiliii

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwaiyo kwa Mujibu wa Uzi wako huu Tanzania haina huwezi wa ku diagnose COVID-19 sio?
Hivi mbona huwa unalialia Mkenya akiitaja Tanzania, ilhali wewe hukesha humu ukituambia mambo ya sijui akina Ole Sakina na Kenya, mkuki kwa binadamu mchungu ila kwa nguruwe mtamu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tz we can do that, we have enough food, but tukifunga mipaka mtapata wapi chakula wa Kenya, si taifa lote litaangamia kwa njaa? au ntakula nzige? Umefikiria kuhusu hilo?
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ijumaa tutakesha kwenye maombi kwa sisi wakatoliki na itakuwa ni historia corona itakuwa umepotea, hatutegemei tena vifaa wala madaktari tumeamua kumkabidhi yesu kristo atupiganie karibu kwenye maombi tumsifu yesu kristo
Parokiani kwetu maji ya baraka milangoni yaliondolewa na padre hakusema tupeane amani wakati wa ibada ya misa ya Jumapili!!
 
Wewe jamaa uko shallow mbaya; all serology test have high percentage of giving false positive or false positive result
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…