Mataifa manne ambayo ni hatari kwa usalama wa dunia. Uwenda hujuwi ila nataka ujuwe nje ya nguvu za kijeshi kwa taifa kubwa kama marekani nyuma ya pazia kuna kitisho kikubwa cha usalama wa dunia na amani kutoka tawala nne ktk mataifa ma nne duniani. Waiati sisi tuna vaa magunia nakuowa ndoa za mitala na kubadilishana almasi kwa shanga.
Mataifa makubwa kama marekani na Uingereza yalikuwa dunia ya kwanza wakishuhudia vita ya kwanza na ya pili ya dunia while idara zao nyeti za usalama zikitoa taarifa za siri ya vita ya tatu kwa viongozi wao.
Dunia haipo salama na hiki ndio kitisho kikubwa kwa uhai na usalama wakila kiumbe ktk uso wa dunia. Kama utapata nafasi kusoma report nyeti za idara za usalama za mataifa makubwa kama German, UK, USA, Ufaransa, Belgium, Israel na Canada uwenda
Ukapata upofu na uwenda ukajiona kama marehem unaye ishi. Zipo serikali ktk dunia zita watawala ambao sio binadam ila ni wanyama hatari ambao hawakuwahi kutokea.
Ktk files za haya mataifa nimeyataja wanajuwa tawala hizi nne bila kuwa eliminated kamwe dunia haitokuwa salama ila ipo siku itatoweka. Na ndio maana kama hujuwi watu wanahaha kujenga nyumba chini ya ardhi wakijiandaa na siku inaitwa dooms day. Siku ambayo mataifa haya manne uwenda yakafyatua makombora yao hatari Yanayo itwa ICB... Yakiwa na vichwa hatari vya nyuklia.
Nisiku yakutisha na nisiwafiche imekaribia ikiwa idara za usalama mataifa ya magaharibi watashindwa kuwa silence hawa viongozi wanne nakuleta mapinduzi ktk mataifa hayo.
Kwanini USA chini ya CIA wanatumia ma bilion ya dola kutaka democrasia ktk mataifa yote duniani? Siri ni moja tu kuzuwia tawala katili kuongoza kwa muda mrefu. USA chini ya CIA walifanya study ya vita vyote vikubwa dunian vina anzishwa na tawala za kiimla au vyama vya kiimla.
Utasema nasema nini? Kama hujuwi Adolfo Hitler, Musolin, nk hawa ndio walikuwa vinara wa vita za dunia. Kutokana na hilo CIA walipendekeza kuhakikisha dunia hairudi kwenye zama za vita ya kwanza na ya pili kwa kuhakikisha wanayagawa na kupandikiza Democracy ktk mataifa hayo.
Pia ktk vifungu vipo tata lipo swala laku eliminate viongoz wanaona ni hatari kwa uasalama wa dunia.
Mataifa ambayo Maggaribi wana yaangalia kwa jicho la karibu ni China, Russian federation, Iran and North Korea. Haya mataifa ndio kwa sasa yanaleta sintofaham ya kesho ya dunia.
Haya mataifa usiku na mchana wanajenga chumi zao ili wapanue imaya zao. Sio wabaki na mataifa yao ila waongeze ukubwa wa mataifa yao. Imani zao nikuwa wao ndio wanastaili kuwa wa tawala wa mataifa jirani yao.
Mfano China ana amini mataifa yote yamemzunguka ni mataifa ndugu na mataifa ya magharibi ndio wamewatenganisha kwa masilahi yao hivyo wanalenga kurudisha hayo mataifa yawe yake.
Ukienda North Korea yeye ana amini South Korea ni taifa lake na ni marekani wamewatenganisha. Same to Russian and Iran.
Mataifa makubwa kama marekani na Uingereza yalikuwa dunia ya kwanza wakishuhudia vita ya kwanza na ya pili ya dunia while idara zao nyeti za usalama zikitoa taarifa za siri ya vita ya tatu kwa viongozi wao.
Dunia haipo salama na hiki ndio kitisho kikubwa kwa uhai na usalama wakila kiumbe ktk uso wa dunia. Kama utapata nafasi kusoma report nyeti za idara za usalama za mataifa makubwa kama German, UK, USA, Ufaransa, Belgium, Israel na Canada uwenda
Ukapata upofu na uwenda ukajiona kama marehem unaye ishi. Zipo serikali ktk dunia zita watawala ambao sio binadam ila ni wanyama hatari ambao hawakuwahi kutokea.
Ktk files za haya mataifa nimeyataja wanajuwa tawala hizi nne bila kuwa eliminated kamwe dunia haitokuwa salama ila ipo siku itatoweka. Na ndio maana kama hujuwi watu wanahaha kujenga nyumba chini ya ardhi wakijiandaa na siku inaitwa dooms day. Siku ambayo mataifa haya manne uwenda yakafyatua makombora yao hatari Yanayo itwa ICB... Yakiwa na vichwa hatari vya nyuklia.
Nisiku yakutisha na nisiwafiche imekaribia ikiwa idara za usalama mataifa ya magaharibi watashindwa kuwa silence hawa viongozi wanne nakuleta mapinduzi ktk mataifa hayo.
Kwanini USA chini ya CIA wanatumia ma bilion ya dola kutaka democrasia ktk mataifa yote duniani? Siri ni moja tu kuzuwia tawala katili kuongoza kwa muda mrefu. USA chini ya CIA walifanya study ya vita vyote vikubwa dunian vina anzishwa na tawala za kiimla au vyama vya kiimla.
Utasema nasema nini? Kama hujuwi Adolfo Hitler, Musolin, nk hawa ndio walikuwa vinara wa vita za dunia. Kutokana na hilo CIA walipendekeza kuhakikisha dunia hairudi kwenye zama za vita ya kwanza na ya pili kwa kuhakikisha wanayagawa na kupandikiza Democracy ktk mataifa hayo.
Pia ktk vifungu vipo tata lipo swala laku eliminate viongoz wanaona ni hatari kwa uasalama wa dunia.
Mataifa ambayo Maggaribi wana yaangalia kwa jicho la karibu ni China, Russian federation, Iran and North Korea. Haya mataifa ndio kwa sasa yanaleta sintofaham ya kesho ya dunia.
Haya mataifa usiku na mchana wanajenga chumi zao ili wapanue imaya zao. Sio wabaki na mataifa yao ila waongeze ukubwa wa mataifa yao. Imani zao nikuwa wao ndio wanastaili kuwa wa tawala wa mataifa jirani yao.
Mfano China ana amini mataifa yote yamemzunguka ni mataifa ndugu na mataifa ya magharibi ndio wamewatenganisha kwa masilahi yao hivyo wanalenga kurudisha hayo mataifa yawe yake.
Ukienda North Korea yeye ana amini South Korea ni taifa lake na ni marekani wamewatenganisha. Same to Russian and Iran.