Mataifa Manne hatari kwa usalama wa dunia

Mataifa Manne hatari kwa usalama wa dunia

Duh!! umekuwa brainwashed na propaganda za kimagharibi ambazo zimekupa upofu wa kuona mbali na kukupa mahaba yao!!!!

Hizi propaganda zipo kimkakati ambao ni kudumisha na kuimarisha utawala kimagharibi katika ulimwengu huu katika nyanja muhimu mfano uchumi,kisiasa, utamaduni na kijamii.

Kinapoonekena kwamba kuna kitisho dhidi ya mfumo wa kimagharibi hapa ndipo nguvu ya propaganda inavyoonekana. Kupitia filamu,muziki,mavazi,michezo n.k watu wengi wameaminishwa kuwa dunia ni lazima iendeshwe kimagharibi jambo ambalo siyo kweli na upotofu mkubwa.

Swali : Je, unaamini kuwa mfumo wa kimagharibi ni lazima ufuatwe na watu wote duniani??.
Jibu kwa kutumia fikra tunduizi .

Mwisho
: Tujifunze kuutafuta ukweli kwa kutumia fikra tunduizi na siyo kumezeshwa kila kitu.Russia,China,Iran na Wamagharibi wote wanatumia Propaganda kueneza na kuimarisha Mifumo yao!!!! Je, sisi tupo wapi????
Swali zuri 👍
 
Hili ni Bandiko la kibeberu!. Taifa hatari kabisa kwa usalama wa Dunia, ni lile taifa Baba la Baba, kubwa la maadui, magaidi na kinara wa maangamizi, the one and only... naomba nisimalizie, ili nisihatarishe kunywimwa visa, sisi wengine familia zetu ziko huko kwa Baba la Baba, kubwa la maadui, kubwa la terrorism na ma terrorists.
P
Unajuwa unapo kabiliana na kiumbe hatari lazima uwe na kiumbe hatari zaidi. Nia niku paralyzed nguvu ya hayo mataifa hatari. Nia yao wala sio USA ila wana agenda yao.
 
Hili ni Bandiko la kibeberu!. Taifa hatari kabisa kwa usalama wa Dunia, ni lile taifa Baba la Baba, kubwa la maadui, magaidi na kinara wa maangamizi, the one and only... naomba nisimalizie, ili nisihatarishe kunywimwa visa, sisi wengine familia zetu ziko huko kwa Baba la Baba, kubwa la maadui, kubwa la terrorism na ma terrorists.
P
Hilo taifa ni mhisani wa maendeleo yetu na humwaga madolari kwa miradi mingi iliyopo hapa nchini, acha kuwapaka matope.
 
Hili ni Bandiko la kibeberu!. Taifa hatari kabisa kwa usalama wa Dunia, ni lile taifa Baba la Baba, kubwa la maadui, magaidi na kinara wa maangamizi, the one and only... naomba nisimalizie, ili nisihatarishe kunywimwa visa, sisi wengine familia zetu ziko huko kwa Baba la Baba, kubwa la maadui, kubwa la terrorism na ma terrorists.
P
Ngoja nikusaidie tu maana mimi sitegemei kwenda huko hata siku moja! Taifa hilo ni Marekani!
 
Unapewa msaada halafu unaambiwa uruhusu Richmond/Dowans kuzalisha umeme kwa gharama ya juu katika nchi yako! Na ukivoma tu kuinvia nao mkataba, unapokea vitisho vya kufa mtu! Unapewa misaada halafu unaambiwa uunge mkono ushoga!

Unapewa msaada, halafu unalazimishwa kuchanja chanjo ya Corona! Mbona wabishi hatukuchanja, na mpaka leo bado tunadunda tu.💪
Hakuna tulicholazimishwa kufanya kati ya hayo, hata huo msaada au mkopo sio lazima kuchukua.
 
Hizi movie muangaliage usiku.
Giza lipunguze ukali wa script.
#MkuuWamekushikaHao.
 
Bandiko nzuri sana hili ukilisoma bila hisia kali hususan za kidini.
 
Mambo ya Dunia nzima yanakuhusu nini wewe mmatumbi , kabiliana na magumu yanayokuhusu wewe , Magumu ya Dunia hata ukiyajua huna lolote utaweza fanya
Kwa hiyo ugumu unao sababishwa na hiyo vita kwako haujakugusa?
Au wewe ni wale wahuni mnaokula mema ya nchi kwa sasa hivyo hamjui kama kuna kupanda hata kwa bei ya mafuta?
 
Duh!! umekuwa brainwashed na propaganda za kimagharibi ambazo zimekupa upofu wa kuona mbali na kukupa mahaba yao!!!!

Hizi propaganda zipo kimkakati ambao ni kudumisha na kuimarisha utawala kimagharibi katika ulimwengu huu katika nyanja muhimu mfano uchumi,kisiasa, utamaduni na kijamii.

Kinapoonekena kwamba kuna kitisho dhidi ya mfumo wa kimagharibi hapa ndipo nguvu ya propaganda inavyoonekana. Kupitia filamu,muziki,mavazi,michezo n.k watu wengi wameaminishwa kuwa dunia ni lazima iendeshwe kimagharibi jambo ambalo siyo kweli na upotofu mkubwa.

Swali : Je, unaamini kuwa mfumo wa kimagharibi ni lazima ufuatwe na watu wote duniani??.
Jibu kwa kutumia fikra tunduizi .

Mwisho
: Tujifunze kuutafuta ukweli kwa kutumia fikra tunduizi na siyo kumezeshwa kila kitu.Russia,China,Iran na Wamagharibi wote wanatumia Propaganda kueneza na kuimarisha Mifumo yao!!!! Je, sisi tupo wapi????
100% Truth !! ( Tafakari chukua hatua ) !!
 
Umeongea ukweli uliochanganyika na mahaba. Watu hapa wanamlaum marekan wanasahau jamaa anajitahid kutumia nafas yake. Ambayo ni fursa kwa taifa lolote
 
Bado mpo kweli na mtakuwepo tu kwa sababu nyinyi bado mpo chini ya miaka 60 !! Lakini pia mtaendelea kubaki humu humu Tz ! Hakuna kutoka nje ya mipaka !! Salaaleeh!! Wazungu Shikamoo !!!
Unapewa msaada halafu unaambiwa uruhusu Richmond/Dowans kuzalisha umeme kwa gharama ya juu katika nchi yako! Na ukivoma tu kuinvia nao mkataba, unapokea vitisho vya kufa mtu! Unapewa misaada halafu unaambiwa uunge mkono ushoga!

Unapewa msaada, halafu unalazimishwa kuchanja chanjo ya Corona! Mbona wabishi hatukuchanja, na mpaka leo bado tunadunda tu.💪
 
Hili ni Bandiko la kibeberu!. Taifa hatari kabisa kwa usalama wa Dunia, ni lile taifa Baba la Baba, kubwa la maadui, magaidi na kinara wa maangamizi, the one and only... naomba nisimalizie, ili nisihatarishe kunywimwa visa, sisi wengine familia zetu ziko huko kwa Baba la Baba, kubwa la maadui, kubwa la terrorism na ma terrorists.
P
Vichekesho , Yaani taifa ambalo mpaka familia umeihifadhi huko lakini una chuki nalo?

Sent from my CPH2185 using JamiiForums mobile app
 
Dogo naona umeoteshwa unajidai mwamposa
 
Mambo ya Dunia nzima yanakuhusu nini wewe mmatumbi , kabiliana na magumu yanayokuhusu wewe , Magumu ya Dunia hata ukiyajua huna lolote utaweza fanya
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]! Watu mna maneno humu Jf nyie!
 
Back
Top Bottom